joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kweli kabisa, Failed state ndiyo iliyotengeneza buses za BRT ya DarFailed state inawazidi kwa utumizi wa gesi nyumbani. You should even be ashamed of yourselves!


Kweli kabisa, Failed state ndiyo iliyotengeneza buses za BRT ya DarFailed state inawazidi kwa utumizi wa gesi nyumbani. You should even be ashamed of yourselves!


We kweli kima, 99% ya kampuni za gesi Kenya ni za kitanzania, huku kwetu kuna investment kubwa ya kampuni za gesi kuliko nchi zote za East and Central Africa combined, mnawezaje kutukaribia kwenye matumizi ya gesi.Failed state inawazidi kwa utumizi wa gesi nyumbani. You should even be ashamed of yourselves!
Amesema ameshangazwa kuona Dar es Salaam is veryTanzania is clean...



Mazingira ya Kenya hayo na shit hole zingine za EA kama Uganda.Uzuri ni kuwa huku Kibondo au Kigoma in general, barabara nyingi zinachongwa ili niwekewe lami
View attachment 2537085View attachment 2537091View attachment 2537096View attachment 2537086View attachment 2537101
Uzuri wa kigoma: Jua mchana lipo kwa wingi lkn hutoki jasho
Ubaya wa kigoma: Ukiachana na ofisi au nyumba kwa ndani, sehem nyingine kote either dukan, bar, etc, kila unapokaa lazima ukute vumbi![]()
Ww kweli ni chizi kwa taarifa yako rostam ndio anamiliki tigo na zantel mobile network companies in tanzania 🤣🤣🤣 na ana shares vodacom tanzania anamiliko taifa gas tanzania and kenya ana miliki caspian mining company tanzania ww huna ulijualo ndugu 🤣🤣🤣They didn't run away, they simply expanded into Tanzania and invested very little money there because of your limited purchasing power. Mention any Kenyan company that wound up its business in Kenya and came to invest in Tanzania
Sourcing dollars do you think they are getting them for free ebu fikiria out of the box kwanzaHili ni shamba la nanai?
![]()
Kenya turns to Tanzania for dollars as the country experiences a dollar shortage
Due to the fact that Kenyas commercial banks are running low on US dollars, some Kenyan businesses have begun obtaining dollars from Tanzania and other nearby nationsafrica.businessinsider.com
Kuna maumivu unayahisi mahala 🤪🤪🤪🤪Sourcing dollars do you think they are getting them for free ebu fikiria out of the box kwanza
Jamaa hawataki kuamini wanachokiona. Kweli mfa maji haishi kutapatapa. Na ingeli kuwa Rostam si mbongo kelele zake humu jukwaani pasingelitosha aise.Ww kweli ni chizi kwa taarifa yako rostam ndio anamiliki tigo na zantel mobile network companies in tanzania 🤣🤣🤣 na ana shares vodacom tanzania anamiliko taifa gas tanzania and kenya ana miliki caspian mining company tanzania ww huna ulijualo ndugu 🤣🤣🤣
Nakukumbusha tu kua kuna gas pipeline itajengwa kutoka dar kuja mombasa na mpokeaji mkuu atakua taifa gas hilo nakukumbusha tu 🤣
Na kinachowauma nyinyi kuskia ndio tajiri wa kitanzania kuwekeza pesa nyingi sana kenya toka mumepata uhuru 🤣🤣🤣🤣 na kila siku mukiambiwa tanzania ina millionares kuliko east africa combined munakasirika na kutuletea cooked GDP
Angalia hizo water kiosk utajua ni projects za UNHCR all over east africa, donation tuHuku kibondo kuna miradi ya maji. Maji yako full.. wakat mjin naibaby nchin kunyaland kuna shida ya maji
View attachment 2537074
Watu wanapiga hela wewe uko hapo unashabikia upuziKuna maumivu unayahisi mahala![]()
ata mimi im sourcing dollars in tanzania but do you think im getting them for free