Wew Kenpaul Muhoro, tuonyeshe bas hata projects za UNHCR huko mjin Nairobi tuwe sawa.. keyword; mjiniAngalia hizo water kiosk utajua ni projects za UNHCR all over east africa, donation tu
Wew Kenpaul Muhoro, tuonyeshe bas hata projects za UNHCR huko mjin Nairobi tuwe sawa.. keyword; mjiniAngalia hizo water kiosk utajua ni projects za UNHCR all over east africa, donation tu
Hapo kuna kambi ya wakimbizi sio makazi ya raia hayoAngalia hizo water kiosk utajua ni projects za UNHCR all over east africa, donation tu
Kuna maumivu unayahisi mahala 🤪🤪🤪🤪
Umepiga bei gani Hadi Sasa 😜😜😜Watu wanapiga hela wewe uko hapo unashabikia upuzi[emoji1787] ata mimi im sourcing dollars in tanzania but do you think im getting them for free
Na hapa naimani tunawatandika kisawasawa kwenye exchange rate 😆😆 wafanyabiashara watanzania pigeni pesa kisawasawa
Mungu ua ruto 🤣🤣🤣🤣
Meanwhile in Tanzania mambo Iko 🔥🔥 kama hivi 👇View attachment 2537242View attachment 2537243
Ndugu zangu mkivuliwa nguo mnachutama……..nimecheka kifala sana hizi comments 😂😂😂😂
Hapana mkuu.. hapo uraini kbsa.. makambi yako mbali.. hapo wanapaita kibondo sokoni (au Soko la Wakulima, Kibondo)Hapo kuna kambi ya wakimbizi sio makazi ya raia hayo
Huo mradi upo chini ya 'host communities development programs' unaolenga kutoa huduma muhimu kwenye maeneo yote yenye missions za UNHCR karibu, Kibondo zipo missions za UNHCR ndio maana wameweka hiyo miradi, pia Kasulu vilevile lakini sio kama ndio mradi rasmi wa wilayaHapana mkuu.. hapo uraini kbsa.. makambi yako mbali.. hapo wanapaita kibondo sokoni (au Soko la Wakulima, Kibondo)
Mbona wanasema Wana viwanda vingi?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] 3/4 ?
The reason why you are sourcing dollars is because your economy is collapsing, a country which depends on imports for all primary needsSourcing dollars do you think they are getting them for free ebu fikiria out of the box kwanza
Viwanda vya kuuza ped na nepi navyo ni viwanda? 🤣🤣Mbona wanaosema Wana viwanda vingi?
Hakuna mkoa ambao Hauna depot ya Taifa gas Tanzania.Ukifika Njombe wasambazaji wanapambana sana kuifikisha kwa wateja walipo hukohuko.Kwahiyo Rostam Aziz amekimbia Tanzania?. Kwa taarifa yako, Rostam anewekeza kiasi Cha $800M Tanzania, Sasa huko Kenya ndio kwanza anataka kuwekeza $200M, tayari mnaanza kupiga kelele.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Viwanda vya kuuza ped na nepi navyo ni viwanda? [emoji1787][emoji1787]