Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndio ila nje ya Dar mpo kama 1960 vile...lol! no internet, no roads...yaani msitu tupu...nawahurumia 45 million tanzanians...cities drive the economy...ndo maana nchi ndogo ya Kenya inaongoza nchi kubwa kama tanganyika...mmejifinyilia kule mikoani nyote na wanyama😀😀capital city inafanana sijui na msitu...mijengo finyu na very rare...Mind you, a knyan living in a slum is more educated and wealthier than a tanzanian living in a village...
Nadhani ww ni mkenya husie tembea nchini kwenu,tz unaweza panda banz sport car kuanzia mtwara mbk mwanza kwa kutumia barabara ya lami bila ya kuona shimo,je kenya unaweza ukatoka nairobi mbk busia au maraba kwa tax saloon,si litatoka matairi yote,je hile road ya mombasa ndio ya kujivunia,kwanza tukija kwenye watu hakuna watu webye roho mbaya km nyie wakenya,na ndio mana hata mademu zenu wabaya kwa sura.
 
Hayo ni maneno tu ata kwenye khanga yapo! !
kuna watu ni wafanyabiashara na wasomi hawaishi dar Arusha wala Mwanza, kama unaongozwa na hisia umepotea, Nikupe tu mfano kuna vijana wanaishi Morogoro mjini ni wasomi tu wa digrii moja na wakulima wazuri wa mazao ya biashara, mtu anamiliki nyumba za biashara na gari nzuri ya kutembelea....uyo anaeishi kibera ni bora uko Kenya na sio ufananishe na Tz
Huyo jamaa ni mshamba sana hivyo kaliobangi nairobi utaifananisha na manzese,mbona makenya yapo kibao hapa tz tena wengine tunawazalisha hapahapa tz hili tu wasirudi kwao kenya,km kenya nzuri kwa nn mnapenda kuishi tz.kwanza hao wakenya ni wachafu sana.demu wa kikuyu au kijaruo hawajui hata kuoga au kutumia maji wao kwao ni tisue hebu fikilia kwa huo ustarabu wao,kwa hujumla riport inasema tz ndio nchi inayokua kwa kasi east africa tena ndio nchi inayongoza kwa kua na ghorofa ndefu.
 
Bukhungu stadium built by kakamega county government is almost done.it's a positive start
a1bfc3a4597c0c3b26a28ba1ef87a80d.jpg
b32f19abfabcbf106a6fc9191a1372ed.jpg


Huyo jamaa ni mshamba sana hivyo kaliobangi nairobi utaifananisha na manzese,mbona makenya yapo kibao hapa tz tena wengine tunawazalisha hapahapa tz hili tu wasirudi kwao kenya,km kenya nzuri kwa nn mnapenda kuishi tz.kwanza hao wakenya ni wachafu sana.demu wa kikuyu au kijaruo hawajui hata kuoga au kutumia maji wao kwao ni tisue hebu fikilia kwa huo ustarabu wao,kwa hujumla riport inasema tz ndio nchi inayokua kwa kasi east africa tena ndio nchi inayongoza kwa kua na ghorofa ndefu.
 
tanzanians and kenyans,
while we compete in uploading photos of our beautiful cities on jf,let's not forget to pray for kenyans (luos) who are being shot and killed during the ongoing NASA demonstrations.
8a2e73ca2493d26450c12171f3b536b4.jpg
ed69b826ac32bea3179fef3d7a9dce75.jpg
e7acaa6d6b53a928c704ecef608e5884.jpg
 
Back
Top Bottom