ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,412
- 88,496
Godown la mitumba 🤪🤪🤪Jengo la Abiria, Arusha airport..
View attachment 2534945
Harafu karibu linakamilika
Godown la mitumba 🤪🤪🤪Jengo la Abiria, Arusha airport..
View attachment 2534945
Hii project mbona hata hua hatuoni updates zake au umestackUkweli mchungu hiki kinachotokea Kenya ndio kitaenda kutokea pale ubungo east Africa logistics park
View attachment 2532857
Ingekua bongo, angeambiwa afungue offisi kwa ground kwanza. 🤣 🤣 🤣
When ethereum started i almost sank in 1m kes, manze nilizubaa, i somehow just liked the currency alafu i felt late to join the bitcoin bandwagon, 1 couple jus made 60m on bitcoin bana when it hit usd.30kIngekua bongo, angeambiwa afungue offisi kwa ground kwanza. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Range Rover ulipost zote hadi umebaki kutuonyesha Ford Everest sasa.🤣🤣🤣
Range Rover ulipost zote hadi umebaki kutuonyesha Ford Everest sasa.🤣🤣🤣
On transit. 🤣 🤣 🤣 Nitaishi kukucheka wewe na hio excuse yako ya on transit.Hzi gari hata usiguse maana hata jamaa yangu anayo na anauza 🤣🤣🤣🤣 hii whatsapp status
View attachment 2535063View attachment 2535064View attachment 2535065View attachment 2535066
Kijana ya on transit. 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwarabu bandia, leo huna content unapost hadi Ford Everest. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so lx600 ziko tatu ila zipo kila kona ya kenya umegusa tena kwenye range unataka kulia naona
Chief hakuna sababu ya kumtukana Rais, hizi tabia waachie Wakenya ndio wamezoea huu ushenzi, hata sisi wengine hatukumkubali sana kipenzi chako JPM kwenye some issues lakini huwezi kuona tunamtusi na kumkosea adabu, tukimkosoa tunamkosoa kama binadamu na mapungufu yake. Tafadhali sana Komredi tulinde image yetu.
Mpumbavu ni ww unless uthibitishe zimesajiliwa kenya nje ya hapo hakuna hata mdudu anaeza waamini nyinyi kwa uwongo 🤣🤣🤣🤣🤣 nimekupa kazi rahisi ile escalade uliotuonesha itafute ikiwa na plate number ya kenya basi nifunge acc sasa hviichoboy01 Mwarabu bandia kuja uone zingine za kuenda Congo, Ethiopia na Uganda. 🤣 🤣 🤣 🤣 Leo nimeamini wewe hua pumbavu walai.
![]()