Na huskii watu wakipiga kelele ford everest 2023 🤣🤣🤣
Fikeni hii level ya kuzileta in bulk. 😂😂😂😂 Sasa Ford Everest pia ni gari ya kutuonyesha surely.
Na huskii watu wakipiga kelele ford everest 2023 🤣🤣🤣
Fikeni hii level ya kuzileta in bulk. 😂😂😂😂 Sasa Ford Everest pia ni gari ya kutuonyesha surely.
🤣🤣🤣🤣 Woiiii leo huna pakutorokea,, nakupiga kama mbwa. Zingine zinaingia na meli zingine zinaletwa na ndege.Na kama zinaenda uganda au ethiopia au congo nani ataamini ??? 🤣🤣🤣🤣 hvi ww unafkiri nani anaeza muamini mkenya hata sekunde moja
Fikeni hii level ya kuzileta in bulk. 😂😂😂😂 Sasa Ford Everest pia ni gari ya kutuonyesha surely.
🤣🤣🤣🤣 Woiiii leo huna pakutorokea,, nakupiga kama mbwa. Zingine zinaingia na meli zingine zinaletwa na ndege.
Ukiambiwa hizo gari zimejaa unalia, ukionyeshwa bado unalia. 🤣🤣🤣🤣🤣 Woiiiii.Na kama zinaenda uganda au ethiopia au congo nani ataamini ??? 🤣🤣🤣🤣 hvi ww unafkiri nani anaeza muamini mkenya hata sekunde moja
Zimejaa wakat picha ya gari moja inazungushwa gari toka 2022 🤣🤣🤣🤣🤣 leo nimecheka sana wallah kaaaaaah hii gari ndio ile nilikwambia imepigwa kabla haijawekwa plate number 2022 na baadae 2023 imesajiliwa na number ikafichwa kaaahUkiambiwa hizo gari zimejaa unalia, ukionyeshwa bado unalia. 🤣🤣🤣🤣🤣 Woiiiii.
Maisha ya sifa za uongo na kujidanganya hamujambo 🤣🤣🤣🤣🤣 tafuta cadillac escalade 2023 yenye plate number ya kenya unitag mm hapa ili niamini hzo gari zilikua za kenya ukipata nitag plz 🤣🤣🤣🤣Ukiambiwa hizo gari zimejaa unalia, ukionyeshwa bado unalia. 🤣🤣🤣🤣🤣 Woiiiii.
Hii train ndani hata haikai hivo, incase you dint knw
😄😄
Sijui hata unajaribu kubishana nini na bongo hata duka ya Xiaomi hakuna. Most brands utazipata Kenya ambazo hakuna anywhere else in the region.
Nimeona mmeruhusu ushoga na mmepata msaada toka USA sasa mashoga wamefungua ofc Nairobi(hub) au bado.Wao ndio huchagua kuweka hizo offices Kenya hua hatuwalazimishi kama nyinyi, mko desperate sana. Don't forget most of the offices in Kenya are regional offices, serving the whole continent or regions.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tembea miji yote mikubwa ulaya na hata US huko kwa mabwana zenu hali iko kama hii ya DSM.as i said mass transit with no regulations? those busses are always over parked... sooo filthy
🤣🤣🤣🤣🤣🤣