Nani kakuambia serikali haiundi hospitali?? Kwao unaona hospitali zote zikiwa za serikali ndo progress?Why your government collects taxes?, What are the primary functions of responsible government?, Why Kenya has the biggest budget in EA, for what if there is private sector?
Imekuaje tena
Za binafsi mkazi wa Kibera kama wewe utaziwezea wapi gharama zake.Nani kakuambia serikali haiundi hospitali?? Kwao unaona hospitali zote zikiwa za serikali ndo progress?
Comments kwenye hii tweet, ni kuwa, watu wa mataifa mengine wengi wamecomment congratulations Tanzania, comments za wakenya sasa
- Made in Kenya
- Built in Kenya
- A win for East Africa
- Was it built 100% by Tanzanians?
- Their ships are built by our military
- Was designed in Kenya, most of workers were kenyans
- Is it working?
- You mean assembled or?
- Is it locally built or locally assemblied?
Na comments nyingine nyingi za wivu [emoji382][emoji382]
Na bado mpk watakapoamka wote na kugundua Tanzania sio level yao
Kwasababu mara nyingi hapa tukionyesha mafanikio ya public hospitals za Tanzania, ninyi mnaleta mafanikio ya private sector.Nani kakuambia serikali haiundi hospitali?? Kwao unaona hospitali zote zikiwa za serikali ndo progress?
"Made in Kenya" na "Built in Kenya" ni ukweli?So you don't want them to say the truth? Vile mnashinda mkisema tunaninia kwenu mahindi pia hiyo ni jealousy?
Za binafsi mkazi wa Kibera kama wewe utaziwezea wapi gharama zake.
Kuna mtu anatengenezewa ulaji japo makelele ya bei kubwa yalikuwa yamezidi .Hivi imetumika logic gani
Comments kwenye hii tweet, ni kuwa, watu wa mataifa mengine wengi wamecomment congratulations Tanzania, comments za wakenya sasa
- Made in Kenya
- Built in Kenya
- A win for East Africa
- Was it built 100% by Tanzanians?
- Their ships are built by our military
- Was designed in Kenya, most of workers were kenyans
- Is it working?
- You mean assembled or?
- Is it locally built or locally assemblied?
Na comments nyingine nyingi za wivu 💉💉
Na bado mpk watakapoamka wote na kugundua Tanzania sio level yao
yeap yeap.. still the tallest 😛Baada ya kuweka mnara wa 60m juu 🤣🤣
Tallest kwa kenya ukiweka na mnara juu au mnara una floor ngap??😆😆😆yeap yeap.. still the tallest 😛
imagine and we still have a bigger economy than danganyika. Imagine how poor danganyika is kama mnashindwa na kenya while we still have all this problemsBut majority of Kenyans don't have water, food, and are killed by bandits and Alshabaab daily
Ni mara ngapi hapa tumeweka hospitali za kitaifa na counties, nyinyi sijui nini kinawasumbua.Kwasababu mara nyingi hapa tukionyesha mafanikio ya public hospitals za Tanzania, ninyi mnaleta mafanikio ya private sector.
Kwa mfano, sisi tukizungumzia Muhimbili na Mloganzila, ninyi mnaleta Nairobi, Aghakhan na Karen Hospitals