we mjinga iyo daraja mmecopy mabatini mwanza amna jipya apo fisi maji wewe
Kuna china spy balloon kama mbili za kijasusi zinazunguka america na canada huko naskia wazungu hawalali wamejaribu kutungua imeshindikana wanazipeleleza kutumia f22 raptor pamoja na stealth bomber yao lakini wapi bado inawasumbua
Alaf anakuja mtu anakwambia china haina technology hehehe yani watu bado wanadhani dunia imesmamia ulaya tu😆😆
Acha kabisa imekua gumzo dunia nzima just imagine wameisubiri ifike juu ya atlantic ocean wakaituma F22 raptor alaf wakatumia missile kuitungua 😆😆😆Nahisi Marekani kashikwa pabaya maana anapayuka tu,🤣🤣🤣
Haya mjuaji ashaanza sasaKuna china spy balloon kama mbili za kijasusi zinazunguka america na canada huko naskia wazungu hawalali wamejaribu kutungua imeshindikana wanazipeleleza kutumia f22 raptor pamoja na stealth bomber yao lakini wapi bado inawasumbua
Alaf anakuja mtu anakwambia china haina technology hehehe yani watu bado wanadhani dunia imesmamia ulaya tu
Vp nimekuchukulia mke au 🤣🤣🤣Haya mjuaji ashaanza sasa
Hasira zao sasa 🤣🤣🤣🤣
kenya mnajiona mlipo hahahahaaa mbwa nyie
So maji yanahatarisha ndoa za watu




