The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Wakunya wamekataa kula ma gmo 😁😁Wale vya Gmo,
Wakunya wamekataa kula ma gmo 😁😁Wale vya Gmo,
Wakati wenzetu ukanda huu wamezubaa zubaa kwa kuogopa ogopa vitu, sisi tunazidi kuchanja mbuga na vitu vya European standard. JPM alishatutoa uoga, tunafanya mambo makubwa ambayo yatawachukua karne na karne kufanyika kunako nchi za wazembe







Hata kama ni gari kubwa mkuu isingeweza kuharibika hivyo, mara ngapi magari makubwa yanapita kwenye paving kama hizo huku kwetu na haziharibiki. Hao jamaa quality and standard huwa hawazingatii kabisa.Dah hawa watu akili zero kabisa. Utakuta wamepitisha gari kubwa la mizigo hapo.
Wakati wenzetu ukanda huu wamezubaa zubaa kwa kuogopa ogopa vitu, sisi tunazidi kuchanja mbuga na vitu vya European standard. JPM alishatutoa uoga, tunafanya mambo makubwa ambayo yatawachukua karne na karne kufanyika kunako nchi za wazembe![]()
Asante india asante tanzania
Vitu kaa hizi Wakenya hapendi kusikia kbs! Soon 4 na 5 kuanza! Na projects zitaenda simultaneously!
Sisi tunapiga miradi yote kwa wakati mmoja pesa ipo nchi hii, tukimaliza miradi tunaanza ku deal na unplanned settlement tunaondoa zote kwenye baadhi ya maeneo hasa Dar tunaanza upya.Vitu kaa hizi Wakenya hapendi kusikia kbs! Soon 4 na 5 kuanza! Na projects zitaenda simultaneously!
Amiiin!Wao wamechezea pesa pale thika ukitajiwa figure unaeza ukapigwa na mshangao watu wameshapita nazo kitambo tu.Bila hata hofu.Sisi tunapiga miradi yote kwa wakati mmoja pesa ipo nchi hii, tukimaliza miradi tunaanza ku deal na unplanned settlement tunaondoa zote kwenye baadhi ya maeneo hasa Dar tunaanza upya.
Hiyo thika yenyewe ushuzi mtupu.Amiiin!Wao wamechezea pesa pale thika ukitajiwa figure unaeza ukapigwa na mshangao watu wameshapita nazo kitambo tu.Bila hata hofu.
Will never forget before kuchanuliwa na wakenya, danganyikans used to call Kenyan gated communities "mabweni"
washamba sana watanzania 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣