Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

charlies_memoir_1675372344661818.jpg
charlies_memoir_1675372344660619.jpg
navspocketcamera_1675145315033150.jpg
 
Ni kama fundi alizirushia bila kushindilia na pembeni hakufunga mkanda vizuri.
Huwa wanapenda kuiga mambo ila wanafanya kijuakali sn, hivi vitu wanaiga Tz sema tofauti ni kwamba sisi huwa tunafanya kweli, mfano hiyo road ya msaada kutoka China kama ingekuwa Tz hayo mazingira yanayozunguka hiyo road yasingekuwa hovyo namna hiyo, refer to all our flyovers, interchanges and other new infrastructures.
 
Kunya ni nchi ya miundombinu ubora wa chini.


A clear sign of a failed project, chini magari yamejaa mpaka gari zinapita kwenye pedestrians path alafu juu wafanyakazi wa expressway wamelala kwenye counters sababu hakuna wateja. Very poor planning with all signs of corruption and embezzlement of funds.

Hivi Wakenya mngempa Mchina hiyo njia ajenge BRT na aendeshe kwa mabasi yake na pesa achukue kwa miaka hiyo 30 mngekuwa mnaongea lugha gani sasa hivi?
 
Hata mkinuna tutaendelea kuiweka tu.
View attachment 2505635
Ligi ya Tz ni bora kuliko ya South Africa alafu kuna watu wanajilinganisha na Tz kwenye soka, wanakuambia timu zao zinaweza kuzifunga timu za Bongo, ukiwaambia tumecheza lini wanakuletea mechi za kipindi ligi yetu ni ya 50 kwa ubora Africa.

Niwaambie kitu wakunya, timu yenu bora Kenya kwa sasa haina uwezo wa kuifunga hata timu ya kumi kwa ubora Tz.
 
Haya wale watu wa airport moja na mji mmoja kazi ipo

 
Back
Top Bottom