Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Yeah good point nimesahau Human CapitalTuwekeze zaidi kwenye human capital, vijana wapate elimu nzuri + izo rasilimali Mungu alitupa bure tunaweza kuna pazuri zaidi ya leo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Lakini inafanyiwa kazi si umeskia kuhusu project ya HEET itayotumia 425mil usd
1.Ku expand ans Build new Unis, lecture halls na ku traim walimu
Pia kuna kufumua mfumo wa elimu





