Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo wewe unaona sawa watu humu kukasirika mama kutumiwa pongezi za siku yake ya kuzaliwa? Kisa mwendazake hakuelewana na Wakundustan? Haya mbona hayakuwapo pre Sukumagang mentality era? Mbona kuelewana kwa Magufuli na Kagame hakukuleta figisufigisu kutoka kwa wafuasi wa JK? Au mnataka tufike mahali tusipeane pole kwenye majanga pia na majirani?
Nani anayetupa lawama ya hicho? Mimi kinachoniudhi kwako ni kutaka kuleta ungomvi wa wasukuma na kitu ambacho hakipo.

Unadhani kazi tunayoifanya humu tunafanya kazi ya nani? Hapa tupo kwaajili ya kumlinda Rais wa Tanzania.

Nakusihi achana na issue za kumuongelea mtu ambaye hayupo duniani. Na unatakiwa huelewe kiongozi yoyote hawezi kupendwa na wote. Kwahiyo achana na hao ambao wanao mponda Rais wa Tanzania kwa kuanza kuwatukana wasukuma. Haina afya kwako na kwa wengine.

Nakisihi hii stori iishe tuchape kazi.
 
Nani anayetupa lawama ya hicho? Mimi kinachoniudhi kwako ni kutaka kuleta ungomvi wa wasukuma na kitu ambacho hakipo.

Unadhani kazi tunayoifanya humu tunafanya kazi ya nani? Hapa tupo kwaajili ya kumlinda Rais wa Tanzania.

Nakusihi achana na issue za kumuongelea mtu ambaye hayupo duniani. Na unatakiwa huelewe kiongozi yoyote hawezi kupendwa na wote. Kwahiyo achana na hao ambao wanao mponda Rais wa Tanzania kwa kuanza kuwatukana wasukuma. Haina afya kwako na kwa wengine.

Nakisihi hii stori iishe tuchape kazi.
pita kule! huna mamlaka ya kuniongelesha hivyo shika zako! Usukumagang umefika mahali mpaka unaamua nani wa kum-wish Samia happy birthday! alaa, ni janga la ukoma!
 
20230129_190714.jpg
20230129_190712.jpg
20230129_190709.jpg
20230129_190706.jpg
 
pita kule! huna mamlaka ya kuniongelesha hivyo shika zako! Usukumagang umefika mahali mpaka unaamua nani wa kum-wish Samia happy birthday! alaa, ni janga la ukoma!
Ungesoma nilichokiandika usinge andika ujinga huu. Unapoongelea sukuma gang unawaongelea wasukuma? Au hisia zako tu. Hujui Wasukuma ndio walio mlinda Rais kutokana na wajinga walitaka kumpindua Rais. Vitu vingine kama huvijui ni bora ukae kimya kuliko kuendeshwa na mihemko.

Yaani wewe mmoja uweze kuwazuia wasukuma walio zaidi ya 25m?
Ndani ya usalama wamejaa, kwenye majeshi wamejaa kila sehemu wapo halafu wewe kajamba nani na akina January muanze kuwachafua wasukuma.

Nakuambia kuwa January na kundi lenu hamuwezi kamwe.
 
Sahau, hao wazee wa hapo tazara hawawezi fikiria unavyofikiria wewe.
Shida ni hao wenzetu wa Zambia wako slow kidogo kwenye maamuzi mpaka ikafikia viongozi wa Tanzania kuzishinikiza serikali hizi mbili kugawana reli kila mtu akae na kipande chake.

Mtakumbuka commuter train ya Tazara ilipoanza wazambia walipiga kelele sana kwamba inanufaisha upande mmoja. Hivi vitu vya kushare ndio matatizo yake.
 
k
Nimeiangalia pia hio video...na pia namfuatilia youtuber I am Marwa kule kijijini kwake

Aisee kenya wanakazi kubwa za kufanya kwenye kuboresha maisha ya wakenya hasa huko vijijin..watu wana hali mbaya sana...hawana umeme..hawana kazi...wakiona mzungu tu na mtu mwenye aliokaa abroad wanamuomba hela...



Hebu Tazama hapa..mpaka mzungu anasema wanamuona benk...



kumbe mna watch kenyan content.. good
 
Back
Top Bottom