IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
ni hio pichaPwahahahaha Weka miti ya matunda mdogo wangu. Halafu picha hiyo inapatikana hapa:-
View attachment 2496309
huamini?
ni hio pichaPwahahahaha Weka miti ya matunda mdogo wangu. Halafu picha hiyo inapatikana hapa:-
View attachment 2496309
Ufisadi mliofanyiwa kwenye SGR na Lapsset ulitosha kuing'oa serikali yenu madarakani lakini wakikuyu walikua wanamtetea uhuru sababu ni mkikuyu mwenzao, ndivyo siasa yenu ilivyo, mkikuyu akifanya ufisadi atatetewa na kabila lake, mkale naye hivyo hivyo, mluo nae hali kadhalika, msijidanganye kwamba hamjulikani mlivyo hovyoKama kuna kitu wakenya huchukulia serious ni right to information. On the same breath, sisi pia hatuogopi kuuliza maswali where certain things don't add up. If Kenyans feel something is amiss they'll push the government or whoever is responsible to the wall until it comes out clean. People literally "bullied" President Uhuru kwa Twitter hadi akatii. Wabongo ni waoga sana no matter serikali yao huwachezea akili itakavyo
Umesema Msitu wa wanyama kama fisi na nungunungu uliopo Nairobi ni bustani ya Eden. Sasa tuoneshe miti ya matunda.ni hio picha
huamini?
hii hapaUmesema Msitu wa wanyama kama fisi na nungunungu uliopo Nairobi ni bustani ya Eden. Sasa tuoneshe miti ya matunda.
Tafuta utuoneshe😎Fisi mbona huwaoneshi? Sauti ya mafisi huwa inasikika mida ipi?
🤣 🤣 🤣 🤣 Kwahiyo msitu wenu wa Nairobi hauna fisi?Tafuta utuoneshe😎
Kwaheri. Nenda kawadanganye wajinga wenzako huko Kundustan, siyo sisi hapa Tanzania tumewaacha miaka 12.hii hapa
![]()
Sasa imegeuza swala la right to information kuwa la kikabila. Si unaona mlivyo wahovyo?! Nyinyi ni wanyonge sana ku picketUfisadi mliofanyiwa kwenye SGR na Lapsset ulitosha kuing'oa serikali yenu madarakani lakini wakikuyu walikua wanamtetea uhuru sababu ni mkikuyu mwenzao, ndivyo siasa yenu ilivyo, mkikuyu akifanya ufisadi atatetewa na kabila lake, mkale naye hivyo hivyo, mluo nae hali kadhalika, msijidanganye kwamba hamjulikani mlivyo hovyo
We will continue doing so until it does something. Wewe niletee mahali popote watanzania wameshinikiza serikali kwa lolote iwe ni mitandaoni ama kwinginekoMbona mmekuwa mkihoji kuhusu uchafu na matakataka ya Nairobi kwa muda mrefu tuu Serikali imefanya nini. Uchafu bado uko palepale tuu.
Wewe unaonaje?🤣 🤣 🤣 🤣 Kwahiyo msitu wenu wa Nairobi hauna fisi?
Naona huo msitu umejaa mafisi. Kila siku Naironi inapigiwa kelele na hyenasWewe unaonaje?
Ukikataa nakuongezea tena. Nairobi imejaa mafisiWewe unaonaje?
Unaongelea slum wakati Dar nzima ni slum bongolala. Are you even listening to yourself?Nyie msioogopa kuhoji imewasaidia nn? Hamna njaa? Unemployment rate haiko hi? Mmemaliza slums? Hamna ukabila? Hamna magonjwa ya aibu kama kipindupindu na gono? Bora kutohoji serikali lkn mahitaji muhimu mnapata aisee![]()
Kwanza sisi hatufanyi mambo kwa kujionyesha Kama ninyi, sisi hatupigi kelele hovyo Kama watu wapumbavu , lazima kuwepo na sababu za msingiWe will continue doing so until it does something. Wewe niletee mahali popote watanzania wameshinikiza serikali kwa lolote iwe ni mitandaoni ama kwingineko
Things that bongolalas hate to see. They then resort to calling such places forest just because they don't have such in Dar, ni uswazi kila corner.The trees are taller than the houses hence from certain angles it looks like a thick forest. Heavenly. 😍 😍
Give me links to any of these allegations. Otherwise, it's hot airKwanza sisi hatufanyi mambo kwa kujionyesha Kama ninyi, sisi hatupigi kelele hovyo Kama watu wapumbavu , lazima kuwepo na sababu za msingi
1)Unakumbuka kelele za kuhoji kwanini Magufuli hakumteua Tena CAG, ambazo zilisababisha Zitto Kabwe kufungua mashitaka katika mahakama ya katiba na hatimae Zitto alishinda hiyo Kesi?
2) Unakumbuka hivi karibuni jinsi watanzania walivyohoji kuhusu mabehewa ya SGR?
3)Unafuatilia jinsi watanzania wanavyopinga uongozi wa Samia Suluhu hasa kuhusu safari zake za nchi za nje?.
Kumbuka kwamba, katika kipengele Cha demojrasia, Tanzania ipo juu ya Kenya.
Hawa nyang'au wanajifanya hawaoni....Kumbuka kwamba, katika kipengele Cha demojrasia, Tanzania ipo juu ya Kenya.