Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamtokaa mpate bridges kama hizi Kundustan. Niiteni mbwa nimekaa paleeeeee

FmR972AXEAEH72p


FmR98oiXkAEau6U
 
Umeishiwa sera mdogo wangu. Huko tulishatoka miaka mingi mno. Tafuta picha za 2023 achana na hiyo 2012 ilishapita.
Aliyeishiwa ni wewe mwenye huna jibu, ulichobakisha ni kutapatapa tu. Nimekuuliza hivi: 2012 mlikuwa na brt? Ndio au la
 
Sio kuuza mahindi nchi zote hizo tu bali kuuza mahindi nchi zote hizo kipindi cha ukame wa kutisha bila muuzaji mwenyewe kuadhirika! Kunyaland wanasema wao ni jangwa hawawezi kupata chakula lakini Tanzania imeweza kuuza chakula kingi wakati wa ukame uliokumba ukanda wote!
Sasa kama ni jangwa mbona wanajitapa kuongoza kwenye uzalichaji wa mazao ya biashara kama: Parachichi, Chai, Kahawa, maua, Mirungi?

Hayo mazao wanalimia wapi?

Facts ni kuwa, Kenye ni nchi ya hovyo na ardhi ya rutuba wanalimia mazao.
 
Back
Top Bottom