Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani Wakenya ndio wakutuambia sisi kuhusu ufisadi? We jamaa kilaza kweli, kwanza sidhani hata kama kweli we ni Mkenya, Mkenya halisi angekuwa na aibu hata ya kuongea nonsense kama hizi.

Napitia sana taarifa kila siku za namna mumepigwa, ukizingatia nchi yenu maskini, mtu unadiriki kuifilisi nchi maskini hiyo ni laana moja kwa moja.
 
Napitia sana taarifa kila siku za namna mumepigwa, ukizingatia nchi yenu maskini, mtu unadiriki kuifilisi nchi maskini hiyo ni laana moja kwa moja.
1674386310542.png
 
Ngoja tumalizane na makao makuu ya nchi kwanza miji mingine itaendelea taratibu mana nako sio kama pameachwa, miundombinu muhimu imejengwa pia so pataendelea taratibu.
Lengo langu ni tusihamishie Population tena Dodoma siunajua wabongo wanapenda kitonga...wkaishaona Dodoma mambo safi wooote wanajisogeza humo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 

Anyway kwa mama linaweza likapungua maana mbinu zake kiuongozi ni much more business friendly, naona hata ameruhusu wapinzani wafanye mikutano ya hadhara.
 
View attachment 2491333
Luanda Angola, imagine na unyama huu yet they are just quiet..
Luanda ni seafront tu kaka. One centimeter away from those shining tall glass buildings in uozo wa hali ya juu. Seafront imerembeshwa sana but ukipiga hatua kidogo tu unabaki kinywa wazi. Shining tall glass buildings and shanties stand side by side
images - 2023-01-22T141915.975.jpeg
images - 2023-01-22T142058.688.jpeg
images - 2023-01-22T142007.107.jpeg
images - 2023-01-22T141858.074.jpeg
 
Luanda ni seafront tu kaka. One centimeter away from those shining tall glass buildings in uozo wa hali ya juu. Seafront imerembeshwa sana but ukipiga hatua kidogo tu unabaki kinywa wazi. Shining tall glass buildings and shanties stand side by side View attachment 2491383View attachment 2491385View attachment 2491387View attachment 2491390
Ndio tatizo la nchi nyingi za kiafrika, unakuta ka CBD wamekapendezesha ila ukitoka nje kidogo tu ni uharo wa kutisha.

EA tunajitahidi sn.
 
Anyway kwa mama linaweza likapungua maana mbinu zake kiuongozi ni much more business friendly, naona hata ameruhusu wapinzani wafanye mikutano ya hadhara.
Linapungua taratibu Bila maumivu
Waganda ndio mnaenda kuwadouble kabisa maana wao wanakua polepole sana.


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom