REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,235
- 10,923
Mpaka Ng'ombe wana hali mbaya ya kimaisha. Wamekonda!Malori yanaelekea CBD 🤣🤣🤣
View attachment 2484887
Kenya maisha ni magumu mpaka kwa Mbwa.
Mpaka Ng'ombe wana hali mbaya ya kimaisha. Wamekonda!Malori yanaelekea CBD 🤣🤣🤣
View attachment 2484887
Ngombe wanalala barabarani wanatembea barabarani wanakunya hapo hapo tena mjini ww unaona ni sawa kwako 🤣🤣🤣 hvi mulirogwa na nani aiseeSasa ngombe za wamaasai ni kitu ya kukukasirisha
In kenyan law cows have a right of way
Hivyo vituo ya brt pemben vinaendeleaje mkuu? Kuna matumaini yoyote?😁Hii ni alama moja wapo ya umaskini 😆
ila sema ukweli hii gari nimeihurumia sana
View attachment 2485202
Kituo ni kimoja tu ndio kilijengwa utasema corridor ya choo cha bar 🤣🤣🤣🤣 hakuna progress yoyote ni white elephant wanahangaika na BRT now ni over 4 yrs walijua BRT nikama kula githeriHivyo vituo ya brt pemben vinaendeleaje mkuu? Kuna matumaini yoyote?😁
Hiv wakenya, hii kazi ya kujenga reli ya stima mlioianza mwaka 2020 bado haijaisha?kaka tulia tayari kenya imeshaanza kujenga reli za stima kando na HIO sgr mnayo idharau..kazi imeanza tayari ...https://businesstoday.co.ke/jkia-cbd-railway-line-kenya-france/...https://www.railwaygazette.com/traction-and-rolling-stock/nairobi-dmu-deal-signed/55931.article#:~:text=KENYA%3A%20The%20much%2Ddelayed%20contract,Balearic%20island%20on%20March%202.View attachment 1499185
Huyu 2020 alisema watanzania tulie kisa brt inajengwa kenya😁Hizo ni pillars zinataka kujengwa hapo. Hizo ni foundation tayari zimeshajengwa. Wewe una ringa kuwa una iphone latest basi mbona usizoom hio picha ili uweze kutazama jinsi hio foundation ilivyojengwa. BRT imeanza kujengwa hapa Kenya, lieni kabisa Watanzania. Lieni tu hakuna namna
Hii ni alama moja wapo ya umaskini
ila sema ukweli hii gari nimeihurumia sana
View attachment 2485202



.😁Inaonekana BRT ya Nairobi inakuumiza sana. Let me repeat how the progress looks like
View attachment 1653014View attachment 1653015View attachment 1653016
Punda afe mzigo ufike ndio kauli mbiu yao🤣Itabomoa Footbridge hii.
Huyu 2020 alisema watanzania tulie kisa brt ianjengwa kenya![]()
. Kali kuliko ya TRA EFD
Hii ni alama moja wapo ya umaskini
ila sema ukweli hii gari nimeihurumia sana
View attachment 2485202

Hawa watu ni copy cats sana hupenda kuiga vitu vizuri lakini wanavitengeneza kujuakali sana.Kituo ni kimoja tu ndio kilijengwa utasema corridor ya choo cha barhakuna progress yoyote ni white elephant wanahangaika na BRT now ni over 4 yrs walijua BRT nikama kula githeri
View attachment 2485220
Haijulikan gari la abiria ni lipi na la mzigo ni lipi zote zinafanya kazi sawa tu🤣🤣Gari za zinazofaa kubebea Abiria wanajaza Mizigo,
Gari za Mizigo wanajaza abiria
View attachment 2485232
Haijulikan gari la abiria ni lipi na la mzigo ni lipi zote zinafanya kazi sawa tu![]()








noma sana .Wao mwanzoni walijua BRT ni kama kutafuna mahindi tu wakasahau kua BRT ni system 🤣🤣🤣Hawa watu ni copy cats sana hupenda kuiga vitu vizuri lakini wanavitengeneza kujuakali sana.
Mim natumia web, sijajua kuhusu app..Hizi Risiti unatoa wapi mkuu. Kali kuliko ya TRA EFD
![]()
Hawapendi kuzidiwa kitu hapa EA hasa na Tanzania ndio maana wakaanza kupaka rangi na kujenga vibanda vya 1 metre width ali mradi wafanane na TZ yaani ni kichekesho tupu.Wao mwanzoni walijua BRT ni kama kutafuna mahindi tu wakasahau kua BRT ni system![]()