Ukiwaskia wanavojisifu sasa utasema wako europeView attachment 2484912View attachment 2484913View attachment 2484914View attachment 2484915







Atokee mmoja wao aje hata hapo boda kama wao wanapesa 😆😆😆 CBD yenyewe imeoza inanuka shombo la kila aina yani watu wenyewe ukiwaangalia wameparara na ugumu wa maishaWatakuambia huna hela umeenda maeneo mabovu, utafikiri hayo maeneo mabovu yapo Jiji lingine![]()
😆😆😆😆😆😆 ona walivopoa wanaingia wakichungulia tu wanaona nimezishika chupi zao wanatoka bila hata commentZoom Tangazo hilo upne Rhythm ya Jiji
Wananchi wengi wanawaza nini( demand and supply )
Wanapata wanachotaka![]()
, sasa mmeona rangi ya udongo expressway inatoka wapi
.
Duh gari za mwaka gani hizi?No filters enjoynairobi imeparara ni haki yao wajisifie na expressway ya mchina kwengine kote ni kwangu pakavu tia mchuziView attachment 2484821View attachment 2484822View attachment 2484823View attachment 2484824

Kabla ya kenya kupata uhuru yani zilitumika na wakoloni 🤣🤣🤣🤣🤣Duh gari za mwaka gani hizi?![]()
Duh hali ya hiyo county itakuwa ya kichovu kama hiyo gari hapo.
Atokee mmoja wao aje hata hapo boda kama wao wanapesaCBD yenyewe imeoza inanuka shombo la kila aina yani watu wenyewe ukiwaangalia wameparara na ugumu wa maisha









Dah this is too much sasa.
Kwa hiyo rangi huzioni au? Hebu acha kupretend. Mji wetu haujapauka kama NairobiMajengo yetu yana rangi nzuri na yanapendeza, nyie yenu yamepauka
Dar es Salaam, TanzaniaView attachment 2483922View attachment 2483923View attachment 2483924View attachment 2483926View attachment 2483927View attachment 2483928View attachment 2483929View attachment 2483930
Eti Nairobi pamepauka? 😃😃But beautiful
Najua mnatumia nguvu nyingi sana kutuprevent kutumia hizi picha kwa sababu mnaziogopaMimi sitoacha kuzituma mpaka dawa iwaingie
ona walivopoa wanaingia wakichungulia tu wanaona nimezishika chupi zao wanatoka bila hata comment







Weka sindano zote mkuu, ila angalia wasiibe simu 
Waibe simu hii wajaribu waone kama sikumtoa mtu shipa la kwenda 😆😆😆Weka sindano zote mkuu, ila angalia wasiibe simu
![]()
Sasa ngombe za wamaasai ni kitu ya kukukasirishaWanyama nao wanatumia haki zao za msingi yani hakuna tofaut kati ya binaadamu na kondoo mjini
View attachment 2485200View attachment 2485201


Hiyo kitaalamu inaitwa human cargo maana hilo ni lorry la mizigo.