Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Victoria, The New CBD
tapatalk_-1883513315_360x450.jpg
tapatalk_390569868_384x512.jpg
 
Kama kuna mtanzania nampatianga heshima zake kwenye huu uzi ni wewe. Michango yako hapa haziendeshwi na hisia na wivu kama ilivyo na wenzako. You argue with a lot of maturity and reasoning, which is unlike most Tanzanians here.

About certain infrastructure kukosekana kwenye miji yenu mikubwa, najua pia ni swala la muda tu. It won't take long before cities like Mwanza or Arusha to start having such coz they honestly need them and no amount of sugrcoasting and uxcuses will change that. Cha kushangaza ni pale wenzako wanapo-argue to imply that such infrastructure hazina umuhimu wowote kwenye hayo majiji mawili eti zitakuwa ni white elephant. I call it a lame excuse!!
Nakubali kk
 
Wakenya picha zao humu hazizidi tano, expressway ya mchina, diesel SGR, tofali flyovers, GTC za mchina wanamalizia na vi estate vyao vya bati nyekundu juu wamemaliza
Afadhali viestates zetu ni za bati nyekundu. Hazijaliwa na mchwa na kufinyika bila mpangilio Kama hizi zenu
1653910611097~2.jpg
images (97).jpeg
1653910591030~2.jpg
1653910572837~2.jpg
1653910934546~3.jpg
1653911005857~2.jpg


VS
11704496_11464053estatejpeg9287ea80ea94f1d6706bb8d884b03185_jpeg20abed4286bff433958486adb03a3...jpeg
katani-10.2e16d0ba.fill-1512x2016~2.jpg
 
Facilities kama hizi zipo Dar pekee the whole EA alafu anatokea chizi eti analinganisha Dar na Nairobi, sio haki kabisa. Kwa sasa Wakenya mkubali tu Dar iko mbele mnoo.View attachment 2479047View attachment 2479048View attachment 2479049View attachment 2479050View attachment 2479051View attachment 2479052View attachment 2479053
Wewe ni mtu bladfwakin kabisa 😂 😂 😂 😂 😂, sasa vile Accra Ghana na Lusaka Zambia wako na stadiums kali kali unaweza kuziweka sentensi moja na Addis Ababa yenye stadium kama zizi la ng'ombe? Accra Ghana pia wako na pokuase interchange yenye ni ndoto Tanzania, sasa kwa hizi akili zako uchwara wanashinda Dar?., nyambaff wewe😂😂😂
1673597626273.png

1673597642668.png
 
Wewe ni mtu bladfwakin kabisa , sasa vile Accra Ghana na Lusaka Zambia wako na stadiums kali kali unaweza kuziweka sentensi moja na Addis Ababa yenye stadium kama zizi la ng'ombe? Accra Ghana pia wako na pokuase interchange yenye ni ndoto Tanzania, sasa kwa hizi akili zako uchwara wanashinda Dar?., nyambaff wewe
View attachment 2479096
View attachment 2479099
Mradi mmoja tu huu hapa zinaingia Pokuase ngapi vilee
1672394606625.jpg
 
Wakenya picha zao humu hazizidi tano, expressway ya mchina, diesel SGR, tofali flyovers, GTC za mchina wanamalizia na vi estate vyao vya bati nyekundu juu wamemaliza
"vi estate vyao vya bati nyekundu" inaitwa building code kitu ambacho najua hamfahamu na hamfuati huko danganyikaland. Nairobi sio uswazi wa Dar-is-a-slum 🤣 🤣 🤣
 
Wewe ni mtu bladfwakin kabisa , sasa vile Accra Ghana na Lusaka Zambia wako na stadiums kali kali unaweza kuziweka sentensi moja na Addis Ababa yenye stadium kama zizi la ng'ombe? Accra Ghana pia wako na pokuase interchange yenye ni ndoto Tanzania, sasa kwa hizi akili zako uchwara wanashinda Dar?., nyambaff wewe
View attachment 2479096
View attachment 2479099
Nchi za kiafrika bhn yn kanchi kamejenga interchange tu kamefilisika wkt Tz tunajenga mamiradi makubwa makubwa hayana hesabu na nchi inakwenda vzr tu, nyie jamani Tz tajiri jamani msione mnapata nafasi ya kubishana na sisi humu mkazani sisi ni saizi yenu.
 
Nchi za kiafrika bhn yn kanchi kamejenga interchange tu kamefilisika wkt Tz tunajenga mamiradi makubwa makubwa hayana hesabu na nchi inakwenda vzr tu, nyie jamani Tz tajiri jamani msione mnapata nafasi ya kubishana na sisi humu mkazani sisi ni saizi yenu.
Ni nini mmekamilisha kwa miaka tano zilizopita?.., fukara nyie, usijitekenye😂😂😂😂😂😂
 
Mmejianika na kujishusha sana, afadhali mngebaki mkipost kijitonyama ya kuficha aibu ilio Tanzania., ona sasa what u are posting, hizo ndio muonekano dhabiti wa Tanzania, pia dodoma iko vile
Dodoma, kawaida ya makazi zenu., ndio picha ya taifa hii hehehe, eti mmetuacha na hamjawai tufikia
View attachment 2476577
View attachment 2476579
Tuma na picha za makazi ya Kibera, Nairobi
 
Picha za kupotosha, yaani propaganda ya kuficha huhalisia..,Nairobi sio size yenu, ata Mombasa iko nafuu sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2479114
View attachment 2479115

Mombasa.,
View attachment 2479125
View attachment 2479119
View attachment 2479122
View attachment 2479127
View attachment 2479130
View attachment 2479128
The first two pictures inaitwa uppercut punch😂😂😂😂
Ukiona hiyo street view ikipostiwa hapa utadhani ni sehemu moja high-class sana. Ngoja uone picha ya juu... Next to a glittering office building stands a shanty house in a very disorganized informal settlement that stretches several kilometers. And that's Dar for you!
 
Back
Top Bottom