President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Mzee tunataka picha hapa. Au huna picha?
Kama hii
Mzee tunataka picha hapa. Au huna picha?
What is this? 🤣 🤣 🤣Mzee tunataka picha hapa. Au huna picha?
Kama hii
![]()
Barabara zipo wapi?What is this? 🤣 🤣 🤣
Nyayo Estate![]()
Hivi huoni barabara hapo ama macho hauna? HeheeBarabara zipo wapi?
What is this? 🤣 🤣 🤣Mzee tunataka picha hapa. Au huna picha?
Kama hii
![]()
Barabara za mchanga naziona.Hivi huoni barabara hapo ama macho hauna? Hehee
Nikija kwa barabara, mnaruka kwa gated community, nikianza gated community mnarudi kwa barabara. Mbona mko waoga hivi? Hapo Nyayo Estate kila barabara iko tarmarcked. Hii uliyopost ni artery road, nikiingia mtaani ni shida.🤣 🤣Barabara za mchanga naziona.
Barabara za kudumu huwa zipo hivi
![]()
Umeachana na Access Roads tena kama hizi?Gated community nyingine hapa
Hehee, Dar mshaishiwa na hata sijaanza
![]()
Nilipokua huko, mlishindwa mkaanzisha ligi ya gated communities, sasa mnataka kurudi huko tena baada ya kurealize kwa gated communities hamna kitu? 🤣 🤣Umeachana na Access Roads tena kama hizi?
![]()
Ndio estate zao wanazozitegemea, daily hzo hzo yn kabla hata hajasema kichwani najua ataweka nn, miaka nenda rudi hzo hzo estate nzee zenye bati nyekundu juu, watu tushaamia Dodoma wao bado wako na hzo hzoWhat is this?![]()
![]()
Nyayo Estate![]()











Access road umeleta ni hii pekeeNilipokua huko, mlishindwa mkaanzisha ligi ya gated communities, sasa mnataka kurudi huko tena baada ya kurealize kwa gated communities hamna kitu?![]()
![]()




Kwahiyo huku umekimbia bila kutuambia?Nilipokua huko, mlishindwa mkaanzisha ligi ya gated communities, sasa mnataka kurudi huko tena baada ya kurealize kwa gated communities hamna kitu? 🤣 🤣
Naomba battle ya barabara za mitaa kati ya Dar na ka Nairobi, kuna kitu nimegundua wakuu, wallahi nawaambia hii battle Dar inashinda asubuhi kabla hakuja pambazuka.Kwahiyo huku umekimbia bila kutuambia?
![]()
Umeona mzingo mzito umeenda kujifungiaNilipokua huko, mlishindwa mkaanzisha ligi ya gated communities, sasa mnataka kurudi huko tena baada ya kurealize kwa gated communities hamna kitu? 🤣 🤣
Anakuja na google eti kutusahaurisha. Sisi tunataka atuletee picha na atuambie hapo ni wapi. DMDP inamaliza mchezo huu asubuhi sana.Naomba battle ya barabara za mitaa kati ya Dar na ka Nairobi, kuna kitu nimegundua wakuu, wallahi nawaambia hii battle Dar inashinda asubuhi kabla hakuja pambazuka.
Nakuambia hivi kaka dmdp imechakaza sn mitaani huko, mm nitamuua na roads za Yombo pekee alafu nakuja kumchinja na kiwalani, akiwezana mm naondoka jamiiforums leo leo, Kenya hii hii isiyo na roads ndiyo ishindane na Tz?Anakuja na google eti kutusahaurisha. Sisi tunataka atuletee picha na atuambie hapo ni wapi. DMDP inamaliza mchezo huu asubuhi sana.
na phase 2 itabeba tonnes ngapi?Tumia akili wewe tulimpa kazi YAPI Merkez mkataba wa kujenga reli Dar Moro phase 1 hata ukiangalia technical report inasema phase 1 itabeba 17 million tons pa.