Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee tunataka picha hapa. Au huna picha?
Kama hii

Viwandani-4.png
This shit is not a gated community
 
Sasa mtu analinganisha Highland villas yenye vijumba havipiti 70 na Greenpark. Wabongo nao 🤣 🤣 🤣
Yani 56,000 sq.m ulinganishe na 3.52 sq. km Najua wengi wenu hesabu imewalemea. 56000 sq.m ni sawa na 0.056 sq.km. Yani Highland villas inaweza ingia kwa green park mara 62. Sasa hao wawili ni watu wa kulinganisha? Ni kama kulinganisha sungura na ndovu. 🤣 🤣
View attachment 2472785View attachment 2472788
Leta streets zenye proper sidewalks wewe Mkumdustan!
 
This shit is not a gated community
Huwasipendi mtu tunaongelea issue flani halafu unaondoka na ID tunayojadiliana nayo unakuja na ID nyingine kuanza kuporomosha ujinga. Kwanini usijiamini na ID moja? Hata kujificha hamuwezi. You are too emotional.
 
Hii apartment building huko Paris ilijengwa kwenye kona ndogo sana. Pia walitumia pre-fabricated wood kujenga na assembly ya levels zote ilikamilika ndani ya siku 10! Ni ground floor pekee Ndio imejengwa Kwa kutumia concrete.

Hili jengo ni jipya na modern ukiliganisha na majengo ya kihistoria mengi yaliyopo central Paris. Lakini ukiangalia structure yake utagundua kuna code wanazofuata. Kuanzia shape ya jengo, urefu wa madirisha, rangi ya jengo na urefu wa jengo. Pia chini kuna maduka Kwa ajili ya biashara Halafu juu Ndio apartments, so jengo ni mixed use. Lini tutaanza ku-design majengo mazuri kama haya?
F05B964C-4101-4AAF-8ECD-65D182404177.jpeg
DE87E0E2-D549-41A7-A1E2-0835869E30D7.jpeg
0C10DF8F-F00F-46D5-8E17-3CDCC8367E0D.jpeg
7CB62ECB-9A23-413A-9035-7261B6CCA2D9.jpeg
88372CE0-01E1-44A2-B892-97F2A79B1444.jpeg
630B01FD-5CE3-4BB8-8B32-32D8F04EE02E.jpeg
E64DA27C-EC67-412C-857C-2632EC5CF727.jpeg
DB3A231C-0938-4F8D-AF9E-C3F21BACFCDD.jpeg
B6642B17-A895-49BC-AAD9-2FB292DAE1ED.jpeg
36B92AE8-0C14-41E4-A9DC-654D055BB729.jpeg
647402F6-78ED-4CAB-A84E-1F66E9610CE2.jpeg
E1DDF4D8-F6D5-459A-99E3-77C99AF1AF30.jpeg
 
Kama hizi sivyo? 🤣 🤣 🤣

Narudia kusema, you guys have very high standards when talking about Kenya and I see that as a complement.
20221124_135741-jpg.2439637
Staki ungomvi mimi na wewe. Ninachotaka tueleweshane tu. Hapo meweka mitaa haina hata barabara za maana ndugu yangu. Kwa heshima uliyonayo humu JF, ulichokiweka ni sawa na miji midogo sana hapa Tanzania mf: Katoro iliyopo Geita inaweza ikaizidi picha hii.
Sasa basi furahiya macho yako hapa Dar:

FVuP6eEWUAEnHSx
 
Everything good in Danganyika is within 10km radius of dar-is-a-slum port. A true fishing village. 🤣 🤣 🤣
br2.jpg
br4.jpg
Kenol Sagana Dual Carriage 01.jpg
Kenol Sagana Dual Carriage 02.jpg
 
Back
Top Bottom