Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NHC ndio wawekeze kwa nguvu kwenye makazi.
Dhumuni la kuanzwishwa kwa NHC halikua uwekezaji wa nyumba ghali? Shirika lilianzishwa ili kujenga nyumba nafuu kwa wananchi wa kawaida.

Ukiacha maghorofa ya wahindi serikali iliyowanyang'anya, nyumba za kwanza kwanza walizozijenga ni pamoja na yale maghorofa ya Keko Bora kwa wananchi wa kawaida.

Hawa akina Kikwete na Kinana (Rizwani anatumwa tuu) wanayajua yote hayo kwasababu walikuwa vijana kipindi hicho. Ni ulimbukeni wao tuu wa pesa na kuiga iga mambo, wameibadilisha NHC kuwa yakitajiri. kama wanataka kuwa real estate developers, si waanzishe tuu kampuni zao binafsi? Kwa nini watumie mgongo wa serikali?
 
Watz wenzangu hakuna jibu moja la matatizo yetu,Kama kuna kitu kinahitaji majibu mbadala lazima tuchuje na tuelewane,Kando na Ushabiki hili jukwaa ni darasa tosha humu tumejifunza mambo mengi sana

Sasa mtu anaposema tunahitaji housing developers ili tupange miji yetu ilo ni wazo zuri,kama implementation yake haiwezekani basi mamlaka ya mipango miji ikishaandaa plan ya namna miji yetu itajengwaje waisimamie kikamilifu ili kuepeusha ujenzi holela unaoendelea...

Inashangaza sana mtu anapotoa hoja yake anakua mpinzani,Na inakera zaidi unapobisha kila kitu ilmradi tu ushinde mjadala..

Kuna vitu vingine wala sio vya kubishana miji yetu imejengwa bila mipango na holo jambo ni bomu kubwa sana..Haijalishi ni nyumba ya hadhi gani lakini kama imejengwa kwenye squatter inapoteza thamani sana
Naomba niandike kwa herufi kubwa,

KATIKA VITU AMBAVYO VINANIKERA SANA SANA NI UJENZI HOLELA, AISEE HII KITU INANIUDHI MNO, ALAFU BADO HUU UJENZI HOLELA UNAENDELEA MPAKA SASA TUNAVYOONGEA NA SERIKALI IMEKAA KIMYA KAMA HAKUNA KINACHOENDELEA. DAR MAENEO MENGI BADO HAYAJAJENGWA LAKINI YAMEVAMIWA NA YANAJENGWA HOVYO HOVYO NA HAKUNA HATUA ZOZOTE ZINAZOCHUKULIWA, WATU WANAKATIANA VIWANJA LAKINI WANAACHWA TU, UNAKUTA NYUMBA ZIMEJENGWA NZURI LAKINI HAZINA MPANGILIO INAONEKANA NI UCHAFU TU.

NAJUA HILI NI TATIZO LA AFRICA NZIMA LAKINI SISI TUSIACHE LIENDELEE KISA NI TATIZO LA AFRICA NZIMA NI UJINGA.
 
Naomba niandike kwa herufi kubwa,

KATIKA VITU AMBAVYO VINANIKERA SANA SANA NI UJENZI HOLELA, AISEE HII KITU INANIUDHI MNO, ALAFU BADO HUU UJENZI HOLELA UNAENDELEA MPAKA SASA TUNAVYOONGEA NA SERIKALI IMEKAA KIMYA KAMA HAKUNA KINACHOENDELEA. DAR MAENEO MENGI BADO HAYAJAJENGWA LAKINI YAMEVAMIWA NA YANAJENGWA HOVYO HOVYO NA HAKUNA HATUA ZOZOTE ZINAZOCHUKULIWA, WATU WANAKATIANA VIWANJA LAKINI WANAACHWA TU, UNAKUTA NYUMBA ZIMEJENGWA NZURI LAKINI HAZINA MPANGILIO INAONEKANA NI UCHAFU TU.

NAJUA HILI NI TATIZO LA AFRICA NZIMA LAKINI SISI TUSIACHE LIENDELEE KISA NI TATIZO LA AFRICA NZIMA NI UJINGA.
Ni tatizo kubwa sana,ofisi za mipango zinapaswa kujitathmini sana na kuanza kua serious na kazi zao, Uko badae tutakua na kazi ya kuvunja na kujenga upya
 
Sasa mtu anaposema tunahitaji housing developers ili tupange miji yetu ilo ni wazo zuri,kama implementation yake haiwezekani basi mamlaka ya mipango miji ikishaandaa plan ya namna miji yetu itajengwaje waisimamie kikamilifu ili kuepeusha ujenzi holela unaoendelea...
Tatizo liko kwenye usimamizi wa mipango iliyopo. Magufuli alishaanza kusawazisha mambo kwa kujenga barabara mpya na masoko ndani ndani huko uswahilini. Hata pale magomeni kota serikali yake ilishaanza kuboresha makaazi na hapo utaona tatizo lipo kwenye usimamizi tuu..

Zamani serikali ilikuwa ina simamia mipango miji yake. Ilihakikisha inapima viwanja na kujenga barabara za lami kabla ya kuwauzia wananchi maeneo hayo na ilikuwa ni lazima ujenge nyumba yako kwa utaratibu uliopangwa. Mfano ni nyumba za zamani za Mwenge kijijini, Magomeni, Ilala, sinza n.k. Usimamizi ulipokoma, ujenzi holela ukashamiri.
 
Naomba niandike kwa herufi kubwa,

KATIKA VITU AMBAVYO VINANIKERA SANA SANA NI UJENZI HOLELA, AISEE HII KITU INANIUDHI MNO, ALAFU BADO HUU UJENZI HOLELA UNAENDELEA MPAKA SASA TUNAVYOONGEA NA SERIKALI IMEKAA KIMYA KAMA HAKUNA KINACHOENDELEA. DAR MAENEO MENGI BADO HAYAJAJENGWA LAKINI YAMEVAMIWA NA YANAJENGWA HOVYO HOVYO NA HAKUNA HATUA ZOZOTE ZINAZOCHUKULIWA, WATU WANAKATIANA VIWANJA LAKINI WANAACHWA TU, UNAKUTA NYUMBA ZIMEJENGWA NZURI LAKINI HAZINA MPANGILIO INAONEKANA NI UCHAFU TU.

NAJUA HILI NI TATIZO LA AFRICA NZIMA LAKINI SISI TUSIACHE LIENDELEE KISA NI TATIZO LA AFRICA NZIMA NI UJINGA.
Buhahaha
Hamtaki dreamhouses tena? Mnafurahisha sana nyie watu.
 
NHC pekee hawana nguvu ya kubadilisha “takataka inaitwa Manzese.” Hatuna housing developers wa kutosha na pia hatuna incentives za kuwavutia kuwekeza nchini.

Huwezi kutegemea informality ipungue kama majority ya nyumba hazijengwi na makampuni na kusimamiwa na planning ya serikali. Kila mtu kujijengea atakavyo aka “Dream Houses” ndio kunasababisha informal settlements nchini kote.

Housing developers wakiachiwa jukumu la kujenga nyumba Kwa watanzania chini ya regulations za serikali, mitaa itapendeza. First, nyumba zitakuwa na high quality kwasababu ya regulations za serikali na zinafuata planning strategy in terms of size, floor count and height, and purpose. Pia mitaa itakuwa na sewerage systems, street lighting, parks and recreation na kadhalika. Kutakuwa na ajira definitive Maana hizi kampuni zitakuwa zinaajiri watanzania kujenga na pia baada ya nyumba kuwa tayari kuwekwa kwenye market, kutakuwa na ajira Kwa real estate brokers ambao wanasaidia watu wanaohitaji makazi kupata nyumba wanayoipenda. Na malipo ya hizi nyumba ni Kwa njia ya mortgage.

Then NHC watakuwa na responsibility ya kujenga affordable housing Kwa watu ambao hawawezi hata ku-qualify kupata mkopo wa kulipa mortgage. Au pia serikali inaweza kuweka policy inayo-dictate Housing developers wa-include Nyumba za bei ya chini Kwenye projects zao.
Kwani kila kita lazima tuige ulaya!? Mambo ya mortgage ni mambo ya kizungu sio mambo yetu.

Serikali bado unaweza kuweka sheria vizuri na hizo slums zikapotea. Hawako serious tu!
 
Ni tatizo kubwa sana,ofisi za mipango zinapaswa kujitathmini sana na kuanza kua serious na kazi zao, Uko badae tutakua na kazi ya kuvunja na kujenga upya
Hao mipango miji wa Tz ni mbwa kabisa, hakuna kazi wanayofanya na tunawalipa mbwa hawa, watu bado wanajijengea vile wanataka mwishowe unakuta watu wamejitahidi kujenga nyumba nzuri lkn zimekaa hovyo hovyo kama ma slums ya Kenya. Kwa hapa East and Central Africa hakuna nchi wananchi wake wamejitahidi kujenga nyumba za kisasa kama Tz lkn nyingi zimekaa bila mpangilio hususan Dar, na hivi tunavyoongea watu bado wanajijengea wanavyotaka lkn serikali za mitaa zipo kmy kabisa, kazi yao ni kuchukua vile vihela vidogo vidogo pale mtu anapotaka kujenga, yani mm ningekuwa na uwezo wa kuzuia huu upumbavu ningedili nao usiku na mchana, yani unabomoa nyumba yako utake usitake. Inakera sana kwakweli.

Haiwezekani tunajenga miundombinu ya kisasa kuliko nchi zote ukanda huu ili kuipendezesha nchi lkn bado kuna wapumbavu wachache wanaendelea kuturudisha enzi za nyuma.
 
Kdf coming in to help stranded farmers
FB_IMG_16725127829490349.jpg
FB_IMG_16725127916331039.jpg
FB_IMG_16725127887516620.jpg
FB_IMG_16725127857131572.jpg
FB_IMG_16725127775206462.jpg
FB_IMG_16725127800625099.jpg
 
NHC want to increase their profit margin to finance even more projects. That’s why they build high profile housing like Morocco Square and Victoria Place - to attract wealthy buyers and investors.

I stated a while ago that we cannot rely on NHC completely to provide sufficient affordable housing for the people. Invite the private sector and give them tax credits to increase housing supply! The government also needs to provide more financing for affordable housing projects.

Unaonekana huna uelewa wowote wa biashara, kwa soko kama la Tanzania as a businessperson you must aim at the bottom of Pyramid.
 
just imagine outside of Dar CBD ie.(Posta)... no other city in Tz has traffic jam.

nb:
in kenya we have devolved other functions to other cities.. not just the commercial and capital city, nairobi...
like u guyz, everythng.. Dar Dar Dar only!


here traffic jams in kisumu, in the evening during rush hours..
also note 'matatu culture' in kisumu rivals tht of nairobi


View attachment 2469350View attachment 2469343View attachment 2469344View attachment 2469345View attachment 2469348View attachment 2469349


Your towns including Nairobi are small by area, overcrowded,, high density of Kundustanians per area, vurugu tupu..
Sasa nairobi ni 1/3 ya Dar na mko karibu 4m hapo,
Plus the entire Kundustan is damn small with almost all towns zipo karibukaribu, yaani Kenya ni 1/2 ya Tz na bado almost half of Kunya is not inhabitable,, mmejaa sehem moja .
Miji yetu ni mikubwa kwa eneo, servisses are diversified ,
 
Juzi niliwaambia panueni hako Kanairo, nyie kila kitu ni CBD, yaani an average Nairober ni LAZIMA aende CBD mara kadhaa kwa wiki ili maisha yaende, hapo achilia mbali other Kenyans aka Kundustans ambao LAZIMA waje NAIROBI kwa shughuli za kiserikali na kimaisha. Yaani hata ukitaka kununua malaya mpaka uende CBD😅😅

Sasa sisi tumeishatoka huko, CBD iko less congested sababu kuna business center kila sehemu, shughuli za kiserikali sasa zimeamia Dodoma na mnaona mnavyopata homa na New Dodoma, mikoa mikubwa yote inajitegemea kibiashara, kiuchumi, kichakula na kihuduma za jamii kama afya n.k. So acha kutuambia ujinga, mkitaka kujua namna miji inafunction njooni Bongo mjifunze, sisi huko tutakuja kujifunza namna nchi mzima imestuck sababu ya kuipimp Kanairo.
Wewe bongolala unajua Kenya kuna kitu kinaitwa devolution? Unaposema mkenya ni lazima aende Nairobi kwa shuguli muhimu unasahau kwamba shuguli nyingi za serikali kuu zilikuwa devolved? Add this to Huduma Centres spread across the country and you'll understand what I'm saying. On the contrary, nyinyi ndio shuguli zenu muhimu lazima mkimbie Dar ama your capital city.

Eti lazima Mauritian aende cbd kufanya shuguli muhimu? Nani alikuambia? Shuguli kama gani hizo if I may ask? Kama ni shopping, we have shopping malls hadi kwa doorsteps zetu, kitu hamna hapo Dar. Huduma muhimu za serikali pia zinapatikana Huduma Centeres nazo pia ziko mitaani.

Don't contribute with a lot of emotions.
 
Your towns including Nairobi are small by area, overcrowded,, high density of Kundustanians per area, vurugu tupu..
Sasa nairobi ni 1/3 ya Dar na mko karibu 4m hapo,
Plus the entire Kundustan is damn small with almost all towns zipo karibukaribu, yaani Kenya ni 1/2 ya Tz na bado almost half of Kunya is not inhabitable,, mmejaa sehem moja .
Miji yetu ni kikubwa kwa eneo, servisses are diversified ,
Kanchi kadogo wapo over 50 mil yn tunawazidi watu wachache sana na hizo ni takwimu za kitambo zikitoka mpya hawa wakundustan watakuwa wengi kuliko sisi.
 
Wewe bongolala unajua Kenya kuna kitu kinaitwa devolution? Unaposema mkenya ni lazima aende Nairobi kwa shuguli muhimu unasahau kwamba shuguli nyingi za serikali kuu zilikuwa devolved? Add this to Huduma Centres spread across the country and you'll understand what I'm saying. On the contrary, nyinyi ndio shuguli zenu muhimu lazima mkimbie Dar ama your capital city.

Eti lazima Mauritian aende cbd kufanya shuguli muhimu? Nani alikuambia? Shuguli kama gani hizo if I may ask? Kama ni shopping, we have shopping malls hadi kwa doorsteps zetu, kitu hamna hapo Dar. Huduma muhimu za serikali pia zinapatikana Huduma Centeres nazo pia ziko mitaani.

Don't contribute with a lot of emotions.
Mpo wengi sn, mmejazana ndani ya ka Nairobi wote ndoto zenu kuishi kwenye hako kamji kadogo, Dar ni kubwa mara tatu ya hako kamji lkn mpo mil 5 wkt Dar ina wakazi mil 7 tu, miji mingine yote inakaa ushagoo unlike Tz miji mingi imekaa kijanja .
 
Mpo wengi sn, mmejazana ndani ya ka Nairobi wote ndoto zenu kuishi kwenye hako kamji kadogo, Dar ni kubwa mara tatu ya hako kamji lkn mpo mil 5 wkt Dar ina wakazi mil 7 tu, miji mingine yote inakaa ushagoo unlike Tz miji mingi imekaa kijanja .
The population of Kenya is 50 million people. Nairobi has 4 million people. Sasa wakenya wote wamejazana Nairobi ni akina. Narudia tena, acheni kuchangia hizi mijadala with emotions. Hizi hasira zenu hazitabadilisha anything
 
Back
Top Bottom