game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
Miji yote mikubwa na modern duniani hukosi ramani za usafiri wa bus kama hizi. Hii husaidia watu wote including foreigners ku navigate their way through the city.Proper Public Transport.
View attachment 2471922
View attachment 2471923
View attachment 2471924
View attachment 2471925
Reli ya Mwanza imechomelewa na kufanyiwa upgrade mpaka Isaka. Kipande cha Kigoma na Mwanza ziko mbioni.Hiki kipande cha reli mbona hawakukichomelea?
Hizi ni drones?
🤣🤣🤣🤣 huyo mvumilieni ndio zwazwa laoJamaa fala sana hawa, ukiwaambia Dar ni kubwa mara 4 ya Nairobi wanakuambia hata newyork ni ndogo kwa Dar, ukiwaaonesha development ya 30km away from CBD wanaenda kukuletea County ya murang'a eti nayo ni Nairobi 😂😂😂
Hili eneo kama wameshindwa kupaweka vizuri si bora apewe yule jamaa!
Eneo zuri sana hili angalia hii picha ilivyo bomba.
Mwenye mkoa yupo busy kutaka kuifunga Wavuvi kempu wakati kuna vingi vya maana vya kufanya.
“Maadili my foot”
View attachment 2472061
Lilipigwa dude la Kimaadili na madera ni Moto kuliko hata Vile vichupi vya Christmas ambalo ilikua ni tukio la Mara moja. Wanatumia nguvu kubwa kwenye vitu ambavyo havihitaji hiyo nguvu.Washazoea vile vipanya vinatoka nairobi kwenda thika 50km basi wanaona ni safari ndefu sana kwao🤣🤣🤣🤣🤣Anawazimu huyo mpuuze,yani 200km ni karibu kivipi![]()
Tena ndio ameenda KuharibuLilipigwa dude la Kimaafili na madera ni Moto kuliko hata Vilr vichupi vya Christmas ambalo ilikua ni tukio la Mara moja. Wanatumia nguvu kubwa kwenye vitu ambavyo havihitaji hiyo nguvu.



Naona leo umeamka una mood mbaya sana 😆😆😆😆 usinambie hujala badoBest SGR in Eastern Africa
View attachment 2472055View attachment 2472063
View attachment 2472062View attachment 2472064
Labda kama hii ipo ulayaBest SGR in Eastern Africa
View attachment 2472055View attachment 2472063
View attachment 2472062View attachment 2472064






Best in what terms embu twende sawa kwenye specifics kwanza.Best SGR in Eastern Africa
View attachment 2472055View attachment 2472063
View attachment 2472062View attachment 2472064
Sio classification bradhee. Fala ni fala. Kama wewe ni fala. 🤣 🤣Hasira itoke wapi mkunya,
Nashangaa tu vile umejipa hadhi ya ku classify watu humu yet you are coming from Kenya.