President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,785
Huku miradi imesambaa kenya nzimaWakenya mbona hakuna project mpya. Au maendeleo yamefika mwisho?
Tushaona render, hadi za Bagamoyo City tuliziona. Tuoneshe kazi kwa ground sasa.
Refa wewe, Kocha wewe, Kipa wewe, beki wewe, mwamuzi wewe. 🤣 🤣 🤣Haya, weka picha sasa upata alama yako moja. So far:-
Kenya 1
Tanzania 0
Naona unetafuta picha uliyopiga juuu then unalinganisha na picha iliyopigwa kwa ukaribu 🤣🤣 the only thing mombasa is ahead of Unguja ni bandari tu mzee kwasababu hata real estate, tourism na hotels Zanzibar ipo juuUshabiki zingine ni za kijinga sana. Mombasa na Zanzibar wapi na wapi!
Zanzibar
View attachment 2470783
Mombasa
View attachment 2470785
Refa wewe, Kocha wewe, Kipa wewe, beki wewe, mwamuzi wewe. 🤣 🤣 🤣
Hakuna mradi mpya kesho wacha kujitoa akili
Tunaongelea Mega project mzee
MCHAKATO WA MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA LINDI ULIPOFIKIA(LNG)
Mimi nakupga taratibu tu. Ruto yupo anazunguka tu
RAIS SAMIA ANAZINDUA MRADI WA MAJI KIGAMBONI NA KUGAWA MITAMBO YA KUCHIMBA VISIMA
SSH housing scheme ni ongoing broject si renda lil man.. 👇.Hakuna cha refa na kocha. Huwezi tuletea render useme ni project. Ama pia sisi tupost renders tuone kama mtatuweza?
Tunaongelea project mzee. Au tunaongelea uzinduzi? Naona unapiga porojo tu
MRADI WA KUZALISHA UMEME WA MAPOROMOKO YA MTO RUSUMO WAFIKIA ASILIMIA 95
Umeona aibu. Ruto mpaka sasa hivi kafanya zeroVenus Star naona umeshindwa ligi. Wacha nijipe shughuli ila usilete huu mjadala tena maanake umekushinda. Bye bye.
Venus Star naona umeshindwa ligi. Wacha nijipe shughuli ila usilete huu mjadala tena maanake umekushinda. Bye bye.