Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hasira hasara buda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikasirikie mtu sitawahi muona kwani mimi wazimu?😂
Stupid questions deserve stupid answers so wacha feelings
 
Ukalii...
IMG-20230104-WA0016.jpg
 
Kuna watu wana hela mkuu.. hio 180m kwa wengine ni kama sarafu ya shilingi mia tano tu na hawaoni hasara kununua hapo.. na vile hapo ni ufukweni, sharp tu zinanunuliwa fasta, hizo bei zina target markets zao..
kuna plot moja iko karibu na ufukwen kunduni niliambiwa ni mil 300 na kuna mbongo kanunua [emoji1]

Cha kujifunza: Hii bongo usiseme hatuna hela, jisemee mwenyewe tu huna hela.

Well, a reason tunasema miradi kama hii haipaswi kuwa ni kipaumbele kwa shirika la nyumba la Taifa,
Hao watu wenye uwezo wa kumudu hizi high end apartments? Wangapi wana hiyo disposable income at that high margin yaani katika watu elfu yupo hata mmoja ?
Kwa namna hii makazi holela yataendelea kuwa tatizo kwa miaka mingine 50, majority wataona wakajenge huko Mapinga ..
Pamoja na kuwa na target customers wa namna hii,
NHC inatakiwa kuwa proactive kujenga apartments za bei nafuu kwa walio wengi,
Hii miradi ina kila harufu ya ufisadi,
Sababu haimake sense kuanzisha mradi mpya ikiwa mingine imetelekezwa,
Pale kawe Kuna mapagale kibao yana 5+ years abandoned, morocc square as well,
Ni kitu gani kinawaganya wakimbilie mradi mpya ? Kwanini wasianze kufikiria namna ya kuboresha ile takataka inaitwa Manzese? Au Tandale sijui Bonde la mpunga?
 
Well, a reason tunasema miradi kama hii haipaswi kuwa ni kipaumbele kwa shirika la nyumba la Taifa,
Hao watu wenye uwezo wa kumudu hizi high end apartments? Wangapi wana hiyo disposable income at that high margin yaani katika watu elfu yupo hata mmoja ?
Kwa namna hii makazi holela yataendelea kuwa tatizo kwa miaka mingine 50, majority wataona wakajenge huko Mapinga ..
Pamoja na kuwa na target customers wa namna hii,
NHC inatakiwa kuwa proactive kujenga apartments za bei nafuu kwa walio wengi,
Hii miradi ina kila harufu ya ufisadi,
Sababu haimake sense kuanzisha mradi mpya ikiwa mingine imetelekezwa,
Pale kawe Kuna mapagale kibao yana 5+ years abandoned, morocc square as well,
Ni kitu gani kinawaganya wakimbilie mradi mpya ? Kwanini wasianze kufikiria namna ya kuboresha ile takataka inaitwa Manzese? Au Tandale sijui Bonde la mpunga?
Dah

Noma sanaaa
 
Green building made of timber? Perhaps they don't understand the meaning of green building.
It is a “green building” because timber is a lower carbon material – It’s renewable and sustainable. So, using it for construction reduces the building’s carbon footprint as opposed to using materials like steel and concrete.
 
Yaani milioni 180 mtu unapata kiwanja 20*40m Goba, unajenga mjengo wa Kibabe a finishing kali, unanunua na ka E-Class ka milioni 30 na unaweka na Garden na chenji inabaki,
Labda hizi watanunua wageni, au diaspora.. sio mbongo naemjua mimi .
Speak for yourself.
 
Kuna watu wana hela mkuu.. hio 180m kwa wengine ni kama sarafu ya shilingi mia tano tu na hawaoni hasara kununua hapo.. na vile hapo ni ufukweni, sharp tu zinanunuliwa fasta, hizo bei zina target markets zao..
kuna plot moja iko karibu na ufukwen kunduni niliambiwa ni mil 300 na kuna mbongo kanunua 😄

Cha kujifunza: Hii bongo usiseme hatuna hela, jisemee mwenyewe tu huna hela.

Tuna fahamu kuna watu wenye nazo mpaka $Billion lakini, kokote kule ulimwenguni, nchi yoyote ile ukienda, UWIANO wa maskini na matajiri ni mkubwa. Nnchi yeyote ile, iwe USA, iwe UK, iwe Germany, matajiri ni wachache sana, mno.

Sasa, tunapotumia rasilimali za umma ni lazima tujenge KWANZA or target yutu kwanza ilenge majority, ambao ndio masikini.

TUACHE UONGO, tuje kwenye uhalisia. Million 190 or 180 ni sawa na Million mona na laki tatu RAND ya South Africa.
Wakati hii nyumba ni:

Location: Akasia, Gauteng, Johannesburg
Bedroom: 4 Bedrooms
Bathroom: 2 Bathrooms
Garage : 2

Million 1 na laki 4
House-For-Sale-in-HEATHERVIEW.jpg

House-For-Sale-in-HEATHERVIEW.jpg

House-For-Sale-in-HEATHERVIEW.jpg

House-For-Sale-in-HEATHERVIEW.jpg


Ni nani mwenye hela hiyo aende akaishi kwenye apartments?? Nyumba ghali kuliko South Africa??
 
Well, a reason tunasema miradi kama hii haipaswi kuwa ni kipaumbele kwa shirika la nyumba la Taifa,
Hao watu wenye uwezo wa kumudu hizi high end apartments? Wangapi wana hiyo disposable income at that high margin yaani katika watu elfu yupo hata mmoja ?
Kwa namna hii makazi holela yataendelea kuwa tatizo kwa miaka mingine 50, majority wataona wakajenge huko Mapinga ..
Pamoja na kuwa na target customers wa namna hii,
NHC inatakiwa kuwa proactive kujenga apartments za bei nafuu kwa walio wengi,
Hii miradi ina kila harufu ya ufisadi,
Sababu haimake sense kuanzisha mradi mpya ikiwa mingine imetelekezwa,
Pale kawe Kuna mapagale kibao yana 5+ years abandoned, morocc square as well,
Ni kitu gani kinawaganya wakimbilie mradi mpya ? Kwanini wasianze kufikiria namna ya kuboresha ile takataka inaitwa Manzese? Au Tandale sijui Bonde la mpunga?
YAP!
 
Speak for yourself.

I am speaking on behalf of many . Haya ndiyo mawazo ya Walio wengi. Mtu anaona kwa hiyo pesa ambayo ameipata kwa jasho aitumie kwa namna hiyo, (value of Money)
I am humbly considering that NHC officials wamezaliwa na kulelewa kwenye familia za kawaida, atleast they can think and plan within the scope of the shoes of common mwananchi.
 
I am speaking on behalf of many . Haya ndiyo mawazo ya Walio wengi. Mtu anaona kwa hiyo pesa ambayo ameipata kwa jasho aitumie kwa namna hiyo, (value of Money)
I am humbly considering that NHC officials wamezaliwa na kulelewa kwenye familia za kawaida, atleast they can think and plan within the scope of the shoes of common mwananchi.
NHC want to increase their profit margin to finance even more projects. That’s why they build high profile housing like Morocco Square and Victoria Place - to attract wealthy buyers and investors.

I stated a while ago that we cannot rely on NHC completely to provide sufficient affordable housing for the people. Invite the private sector and give them tax credits to increase housing supply! The government also needs to provide more financing for affordable housing projects.
 
Back
Top Bottom