Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni barabara mpya tuonyeshe ya zamani kidogo
Hii hapa

Screenshot 2022-12-09 000249.jpg
 
Usipende sana uongo

Anyway hiyo ni kazi safi hakuna shaka,wacha nasisi tutafute fedha tuboreshe mes zetuView attachment 2469021
Ulitaka picha ya same place ama picha tu ya Estate roads? Kama ulitaka before and after basi ndio hiyo. barabara sasa ni safi though hata ilivyokua before ni bora kuliko the average estate road in Dar's high end neighborhoods.
 
Hii ni miradi ya kifisadi na sisi tulipinga sana miaka mingi huko skyscrapers.com

Hivi, ni Mtanzania gani atanunua apartment kwenye flat kwa bei ya Million Mia na hamsini na milioni mia na tisini??

Wakati kuna wakandarasi wa nyumba wengi tu wanaweza niporomoshea bonge la jumba kwa 50 million.

Yaani milioni 180 mtu unapata kiwanja 20*40m Goba, unajenga mjengo wa Kibabe a finishing kali, unanunua na ka E-Class ka milioni 30 na unaweka na Garden na chenji inabaki,
Labda hizi watanunua wageni, au diaspora.. sio mbongo naemjua mimi .
 
Yaani milioni 180 mtu unapata kiwanja 20*40m Goba, unajenga mjengo wa Kibabe a finishing kali, unanunua na ka E-Class ka milioni 30 na unaweka na Garden na chenji inabaki,
Labda hizi watanunua wageni, au diaspora.. sio mbongo naemjua mimi .
Kuna watu wana hela mkuu.. hio 180m kwa wengine ni kama sarafu ya shilingi mia tano tu na hawaoni hasara kununua hapo.. na vile hapo ni ufukweni, sharp tu zinanunuliwa fasta, hizo bei zina target markets zao..
kuna plot moja iko karibu na ufukwen kunduni niliambiwa ni mil 300 na kuna mbongo kanunua 😄

Cha kujifunza: Hii bongo usiseme hatuna hela, jisemee mwenyewe tu huna hela.
 
Kuna watu wana hela mkuu.. hio 180m kwa wengine ni kama sarafu ya shilingi mia tano tu na hawaoni hasara kununua hapo.. na vile hapo ni ufukweni, sharp tu zinanunuliwa fasta, hizo bei zina target markets zao..
kuna plot moja iko karibu na ufukwen kunduni niliambiwa ni mil 300 na kuna mbongo kanunua

Cha kujifunza: Hii bongo usiseme hatuna hela, jisemee mwenyewe tu huna hela.
Kina watu wanachukua floor nzima
 
Back
Top Bottom