The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Heheheeeee atokee mkundustan wa ku dispute this but na yeye aweke mambo yake japo kwa ufupi, I dare if there's any kundustanian in this thread has even a motorcycleAnyway, wadau.. mim ni Mechanical Eng, nipo serikaln lkn nina kampuni changu kinahusika na maintenance, service, na analysis za machines zote viwandan ..
Nina vifaa vyote muhimu vinavyohitaji (ni ghali sana, kiasi kwamba viwanda vinaogopa kununua kutokana pia hakuna anaejua kuvitumia)
Mf moja tu wa vifaa, kuna hii inaitwa SKF microlog analyzer
View attachment 2466872 (mim miaka ya 2015-2016 nilinunua mil 40, ila mpk sasa nimeshairudisha hela yote na faida nying juu) mfano kuna kipindi nilikuwa napost nipo kiwanda kimoja maeneo ya tazara, pale nililipwa zaid ya 30mil kwa siku kumi tu.. nilifanya analysis na service consultations ya machines zote. So kuwa expert na vitu flan na kuwa na vifaa vya kisasa vimeniwezesha kupiga hela nying kwa vitu vidogo vidogo tu ambayo kiuhalisi havihitaji hela nyingila sasa kwa sababu ya bei ya vifaa, bas bei ya service lazima niweke juu
Ni hayo tu wadau![]()











Aiseee kama mbele mwanangu





Story nyingine ni hii..Heheheeeee atokee mkundustan wa ku dispute this but na yeye aweke mambo yake japo kwa ufupi, I dare if there's any kundustanian in this thread has even a motorcycle![]()
Baba wakundustan watakufata PM kwa I'd nyingine baba, c unajua jamaa wana tamaa snStory nyingine ni hii..
View attachment 2466959
Angalia vigezo na kazi
View attachment 2466961hii kampun imetangaza nafas ya PM inspector anaejua kutumia vifaa ambavyo mim ninavyo lkn hakuna walieweza kumpata, wametangaza hio nafas mara mbili nyakat tofauti lkn hawajampata wenye vigezo walivyoweka, hivyo vigezo mim ninavyo.. nikawatafuta, nikawaambia mim niko bongo nimeajiriwa serikaln lkn nina kampun inahusika na hizo kazi hivyo wanaweza kuwa client wangu, wakasema niwaonyeshe kwa picha vifaa nilivyonavyo na kuwatumia certificates za taaluma wanazotaka, baada ya kuwatumia wakakubali niwe nawafanyia maintenance, service na analysis consultations.. nimesain nao deal la mpunga mrefu sana![]()




















Hawatokei tena.Story nyingine ni hii..
View attachment 2466959
Angalia education, knowledge na experience
View attachment 2466961hii kampun imetangaza nafas ya PM inspector anaejua kutumia vifaa ambavyo mim ninavyo lkn hakuna walieweza kumpata, wametangaza hio nafas mara mbili nyakat tofauti lkn hawajampata wenye vigezo walivyoweka, hivyo vigezo mim ninavyo.. nikawatafuta, nikawaambia mim niko bongo nimeajiriwa serikaln lkn nina kampun inahusika na hizo kazi hivyo wanaweza kuwa client wangu, wakasema niwaonyeshe kwa picha vifaa nilivyonavyo na kuwatumia certificates za taaluma wanazotaka, baada ya kuwatumia wakakubali niwe nawafanyia maintenance, service na analysis consultations.. nimesain nao deal la mwaka mmoja 2023 la mpunga mrefu sana 😀
Sasa hivi wanauchungulia uzi huu kwa mbali.Baba wakundustan watakufata PM kwa I'd nyingine baba, c unajua jamaa wana tamaa sn
Ila wakundustan walivyo wajinga na shobo ujue kabisa kuanzia leo watakuogopa sn![]()
![]()
Kama ni kweli tumekwishadah Indian company of all the giants around the World on ports operations? Is this Rites part II?
Nilitegemea labda DP World kumbe dah...dah Indian company of all the giants around the World on ports operations? Is this Rites part II?
Mimi naona kampuni hiyo iko fresh tu. Anaye milk kampuni hiyo kwa mujibu wa forbes ni namba 3 kwa utajiri duniani na ni nambari moja asiaNilitegemea labda DP World kumbe dah...
Anyway, watupe Jina la hao wahindi tuone profile Yao.
We are assembling Mercedes, one of the respected vehicles in the world. Kama unaumwa sana jinyonge.Nimesema nimeshtuka kuskia 68 units sasa hapo muna assemble kitu gani 🤣🤣🤣🤣 nikakutolea mfano wa GF
Kaka ukihitaji chawa nipo hapaaa..
Niwe nakusaidia kuhesabu vibundaa tuu![]()





Bora umenyoosha maneno Boss

68 units sasa mume assemble kitu gani au kituko 🤣🤣🤣🤣 inamaana magari yote actros mume assemble 68 units ila wakenya munamatatizo kweli ndio yale yale ya mobius toka mutengeze hata 10 units hazijawah uzika alaf muko kupiga kelele hapaWe are assembling Mercedes, one of the respected vehicles in the world. Kama unaumwa sana jinyonge.
About quantity, nimekuambia GM wana assemble 10 units per day. Hizo ni magari 300 kwa mwezi. Wewe mnatengeza 50 units kwa mwezi kisha unajiona babe! 😂
Hahah ukikaa kimya unaweza kufaa njaa bossBora umentoosha maneno Boss
![]()

..

Hahah ukikaa kimya unaweza kufaa njaa boss..
Kule kwetu Kwa wafugaji ambao Sio wa kuchunga na kuhama hama huwa tuna msemo wetu.. Ng'ombe anaelia ndio anaerushiwa majani...![]()



Umemaliza mkuu 
Tunaangalia utajiri au performance and experience?Mimi naona kampuni hiyo iko fresh tu. Anaye milk kampuni hiyo kwa mujibu wa forbes ni namba 3 kwa utajiri duniani na ni nambari moja asia
Jina lake Gautam Shantilal Adani