Ushamba mzigo.Lexus LX 600 this is double the price of a Land Cruiser 300 zile mumezoea huko bongolala. Lexus hua wametambua Kenya.🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
A clown with a networth of tzs.15b siwezi mind kua huyo clown mimi, I appreciate his achievements though, but we all know he is a clown,
Incase they forgot mwenye experience hapa anaongeaYou are allowed to import very old cars, over 20 years na bado wengi wenu hata baiskeli hamwezi afford.
You guys have old model cars kushinda kenyaBaada ya kugundua hamna magari ya maana sio? Wewe Mkustan mbona mnaruhusiwa ku-import chakula ila mna njaa still!?
Incase they forgot mwenye experience hapa anaongea
Kupanga ni kuchagua wao wameamua kuwalimia wazungu maua ndivyo akili zao zilipoishia hapo tusiwalaumu sana tuwasaidie na msosi tuu maana jirani hakimbiwi.Lazma wapasuane kwa kweli
What's your point..?unafikiri hizo ni probox?izo ni gari za wachache sana wenye helaLexus LX 600 this is double the price of a Land Cruiser 300 zile mumezoea huko bongolala. Lexus hua wametambua Kenya.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Munauziwa dinosaurs. 😂 😂 😂What's your point..?unafikiri hizo ni probox?izo ni gari za wachache sana wenye hela
Bongolala, najua Kizungu huwa kizungumkuti kwako ila wacha nikusaidie. Wamesema they've assembled and sold 67 units by end of September last year. Hiyo ni production ya nine months, not since they started operations as you say.Yani mm nilijua toka wameanza atleast wana units kama 1500 hvi 🤣🤣🤣
Si bora hata kampuni ya GF tanzania wana assemble zaidi ya units 50 kwa mwezi

Hata hizo luxury cars you don't rank anywhere. Jaribu kutulia.What's your point..?unafikiri hizo ni probox?izo ni gari za wachache sana wenye hela
Aliekudanganya nani 🤣🤣🤣 unafkiri ni probox na filder hzoLexus LX 600 this is double the price of a Land Cruiser 300 zile mumezoea huko bongolala. Lexus hua wametambua Kenya.🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Kitu nashangaa tulikua tunaongelea kuhusu DT dobie sasa sijui umerukia wapi tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli akili ni nywele nisije kua nabishana na mtu hana nywele kichwani ana nywele za kwenye kendeBongolala, najua Kizungu huwa kizungumkuti kwako ila wacha nikusaidie. Wamesema they've assembled and sold 67 units by end of September last year. Hiyo ni production ya nine months, not since they started operations as you say.
Secondly, unaanzaje kulinganisha trucks za Mercedes na hizo vichekesho havijulikani popote? Ama ulidhani wakitengeneza 50 units kwa mwezi ni big deal? General Motors wana assemble 10 units a day na tumenyamaza tu and this was in 2013. That's 300 units a month!
Choose your battles wisely usije ukapasuka msamba
Hata hizo luxury cars you don't rank anywhere. Jaribu kutulia.
Kila mmoja wao ana id mbili mpaka tano muwazoee manake ndio binaadamu pekee juu ya ulimwengu huu waliozoea uongo na hawaendi na wakat 🤣🤣🤣 yani dunia ishabadilika wao wanafikra za dunia ya miaka 30 iliopitaKuna yule Teargass imekuwaje siku hizi? Nadhani yumo humu humu kwenye IDs kadha wa kadha.
Kama ndio unayoweza kumudu shida iko wapi? Mbona mnakaa kwenye vibanda vya aluminium sheets full suti na hamlalamiki?izo nazo ni nyumba?Munauziwa dinosaurs.![]()
![]()
![]()
![]()
Just because you can google doesn't make you smart. Bei za magari hutofautiana kulingana na nchi. Ukiulizwa hizo prices zako ni za nchi gani huwezi hata kujibu.Aliekudanganya nani 🤣🤣🤣 unafkiri ni probox na filder hzo
View attachment 2466591View attachment 2466592