Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimejupa HDI link usome ba bado unauliza maswali ambayo iko ndani ya hizo link. Wacha kuwa mzembe. Click on the link, soma taarifa upate majibu
Maswali niliyouliza hayapo kwenye link uliyoweka. Ndio maana nimeuliza kama uko na majibu utoe
 
Naona unajifriji na picha za Uhuru Park wakati rehabilitation ikiendelea. Panguza machozi sasa 😃😃
FB_IMG_16714778313562156.jpg
FB_IMG_16714777980711495.jpg
FB_IMG_16709988241114625.jpg
FB_IMG_16714777918032260.jpg
 
Latest: The top 10 best clubs in Africa. 🌍⚽️

1. Al Ahly 🇪🇬
2. Wydad AC 🇲🇦
3. CR Belouizdad 🇩🇿
4. Zamalek SC 🇪🇬
5. Pyramids 🇪🇬
6. Petro Luanda 🇦🇴
7. Mamelodi Sundowns 🇿🇦
8. ES Setif 🇩🇿
9. Raja CA 🇲🇦
10. Simba SC 🇹🇿
 
Maswali niliyouliza hayapo kwenye link uliyoweka. Ndio maana nimeuliza kama uko na majibu utoe
Uliuza hiyo assembly plant iko wapi. I told you they partnered with KVM (Kenya Vehicle Manufactures) and this is well stated in the link. KVM inapatikana mjini Thika.

Do I have shots how they are assembling those vehicles? I don't even know what you meant by this. Labda ufafanue

Your last question was how many units they've produced so far. As of September last year (2022), KVM had assembled and sold 67 units. Link ndio hii hapa usome

Uko na swali bado?
 
Uliuza hiyo assembly plant iko wapi. I told you they partnered with KVM (Kenya Vehicle Manufactures) and this is well stated in the link. KVM inapatikana mjini Thika.

Do I have shots how they are assembling those vehicles? I don't even know what you meant by this. Labda ufafanue

Your last question was how many units they've produced so far. As of September last year (2022), KVM had assembled and sold 67 units. Link ndio hii hapa usome

Uko na swali bado?
67 units 😆😆😆 hvi nyinyi mko serious kweli au hua munalazmisha maisha? Ili muonekane muna ahfueni makosa ya mobius ndio haya yanayoendelea hio kampuni toka imeanza haijawah fikisha mauzo ya magari 10 over 6 good yrs sasa sijui hua muna assemble kitu gani
 
67 units 😆😆😆 hvi nyinyi mko serious kweli au hua munalazmisha maisha? Ili muonekane muna ahfueni makosa ya mobius ndio haya yanayoendelea hio kampuni toka imeanza haijawah fikisha mauzo ya magari 10 over 6 good yrs sasa sijui hua muna assemble kitu gani
Unauliza Kama tuko serious? Nyinyi ambao mki serious kutuliko mmetengeneza units ngapi?

Secondly, unapingana na data ya DTDobie wenyewe sasa unataka tukuambiaje?
 
Yani maongez yako tu yanaonesha yana hasira na machozi ndani yake 🤣🤣 ikiwa waziri wa kenya ndio wanatumia prado vipi itakua popular kihivo na ikiwa probox na vitz na filder ndio zimejaa over 90%
Go google the meaning of SUV upunguze ujinga. Sa ju gari inatumiwa na waziri hio inafanya isiwe popular, una reason kama pumbavu.
 
Back
Top Bottom