The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tanzania is so lonely in the region.
. Sio kwa ubaya lkn 










Umechoka?Dar is a slum kwani hamkuvuka mwaka? 🤣 🤣 🤣




Safi.Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) mkoa wa Dar es Salaam imetangaza kulifunga Daraja la Tanzanite kwa siku nane kwa ajili ya maboresho ya kuwekwa nembo ya Tanzanite.
Kulingana na taarifa kwa umma iliyotolewa jana Jumamosi, Desemba 31,2022 na Tanroads daraja hilo litafungwa kuanzia kesho Jumatatu Januari 2, 2023 saa 12 asubuhi na kufunguliwa Januari 9, saa 12 asubuhi.
“Katika muda wote wa maboresho hayo, daraja hili halitatumika kwasababu za kiusalama hivyo Tanroads mkoa wa Dar es Salaam inawashauri watumiaji wa daraja kutumia barabara ya Kaunda na Ali Hassan Mwinyi,” imeelezwa kwenye taarifa hiyo.
![]()
Picha ya last year, kwani hamkuvuka mwaka. 🤣 🤣 🤣
Picha ya last year, kwani hamkuvuka mwaka. 🤣 🤣 🤣
Kumbe tulifanya tangu kitambo, asante kwa kukubali kwamba Tz ni baba lao.Picha ya last year, kwani hamkuvuka mwaka.![]()
![]()
![]()
Kumbe mumezoea kua washamba. 🤣🤣🤣 boring ass city. Dar ni kijiji kubwa.



















































