Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We yako ndio naona ndogo. Nyie ni watu wa ajabu unalinganisha uchumia wa nchi kwa majengo na barabara? STUPID IDIOTS. Angalia nchi za ulaya linganisha majengo yake na Dubai yupi yuko juu? Sasa ni kweli UAE wana uchumi mzuri kuzidi UK au Germany?


Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app


soma kichwa cha Uzi knasemaje so unakurupuka tuu;ko unaujua uchumi wa Kenya vizuri kuliko nchi yako? acha hizo
 
Thank you so much my dearest friend. Huwa nipo nipo sana humu ila kimya kimya mara zote.

Wakenya wengi ni washenzi na wanjaa njaa. taratibu wataisoma namba. Mimi Sipo Tanzania so ni ngumu kupata picha za Dar but nina picha za Warembo wakareee!



umehepa umaskini ya least developed country hahaha
 
Afu nyie Kenya acheni dharau mbona nilipost bus kibao za Tz ila sijaona mkibattle hapo embu tupieni macoaches yenu tuone
 

Attachments

  • IMG_20171007_142423.JPG
    IMG_20171007_142423.JPG
    29.7 KB · Views: 43
watanzania wengi wanakuja na kusema ukweli ila kina uchiboy wanawatusi na kuwakejeli...duh!!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
si mtu anajieleza tu...mtz amrukiwa na matusi kwa kusema eti Kenya wamewashinda...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mkubali tu ukweli
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
BTW, no Kenyan has ever come here to say such things...
 
Afu nyie Kenya acheni dharau mbona nilipost bus kibao za Tz ila sijaona mkibattle hapo embu tupieni macoaches yenu tuone
refer to the early stages of the thread...kuna basi nyingi sana....ulikua unarudia rudia tu...ndio maana wakakuangalia kama chizi..
emoji23.png
emoji23.png
 
Back
Top Bottom