Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikajua umesoma source za maana kumbe wikipedia
😀😀

Hakuna usafiri umekua wa haraka bila karaha kama BRT kwa dar na ukumbuke waliongeza bus nyingi sana na sasa wanaleta bus zinazotumia gas sio oil tena kuna city train in dar inayozunguka over 70 km sehemu tofaut tofaut na usichelewe kuna daladala zimejaa kama nzige dar na hazina idadi
Na zinazunguka 24 hrs katika ukubwa wa 1590 km sq mara tatu ya nairobi 😀😀😀😀

Na sasa modern electric train inajengwa itakwenda sambamba na train ya zamani yani ni hatarii

Kumbuka hii ni 2017
Macho yako yakaruka pale pa "according to their official website" na yakaona tu "and Wikipedia". Must be an error of omission. Au JF hapo Dar haionyeshi hip sehemu?

Sijakataa mna 70km za reli dar mjini, ila Nai ina 160km za reli mjini, na ukumbuke ki ardhi no ndogo kwa Dar Mara tatu hivi kwahivyo rail per kmsq should be 5times more.

Sijaona popote mtandaoni kumeandikwa BRT yenu ina mabasi 600, nimeona tu ya 140 Mara mbili. Ukiweza kutupea hip tovuti tutashukuru.

Na BRT ni mradi mzuri sana katika kumaliza msongamano, Nairobi yafaa kuiga hilo na serikali imeiweka mpangoni. lakini mabasi 140 pekee hayawezi maliza daladala Dar, ikiwa Nairobi bus companies zina kwa ujumla mabasi takriban 4000 na bado matatu 16000 zasafirisha watu mjini. Na ukumbuke idadi ya watu Nairobi proper ni ndogo kuliko Dar, ingawa ukiongeza na metropolitan area itakua kubwa na asilimia hamsini hivi
 
Zipo mkuu,

Nairobi city trains
View attachment 599669View attachment 599670
Kenyans are very aggressive, even during commuting trains
i beg to differ
WE HAVE GOOD COMMUTER TRANSPOERT PLUS NAIROBI, IMARA-DAIMA,MAKADARA AND SYOKIMAU COMMUTER RAILWAY STATIONS
BDSyokimau1411as-524x350.jpg

NAIROBI-COMMUTER-TRAIN.jpg

kr2-2111.jpg

syokimau1.jpg

imara.jpg

maka1.jpg

nairobi-kenya-december-23-view-to-the-nairobi-railway-station-kenya-hwawp0.jpg
 
Tanzanian lunatics know nothing about Kenya. ....Lowassa alishawapa ukweli na kujitia hamnazo ndio imewateka.hahaha. ....
 
watanzania kwa watanzania:
unafurahi sana kuona watz kwa watz wakitofautiana mitazamo...you sound like a defeated guy whose only weapon left is to see disunity or hostility takes among his enemies thinking it might weaken them.

i think you are unaware that even kenyans on JF do engage over each other.
tazama hii


note that both guys above are kenyans,one from nairobi and the other one from mombasa.
 
photos they will never show us:
unfortunately this is how some white guys on instagram show to the world the image of kibera.
6dbed69ea226be1838b115f40a8efc13.jpg
6a9d8b9e57d9aecc5ee89d90deb6e0c2.jpg
13b176fe64f54c0edf77a58eb4467a2b.jpg
b729dadd72c6461fbdce2132563af2ec.jpg
4e645108f68740bfd69824ce49d2b59f.jpg
f2044251beff3cc96b3f6d8e63b67cc0.jpg
6b37f2f41de6ff2b9d6ebe3b5a365bc0.jpg
56cbfd1dc3aaa536e80d3c7280b39a92.jpg
46286ce948b1d49fe99b0e2f9870a0dc.jpg
0d6b85efee5fe08fc57a5de2c98e096a.jpg
 
photos they will never show us:
unfortunately this is how some white guys on instagram show to the world the image of kibera.
0904769f64e0515438de81c213da9b80.jpg
7a7f06749d54b4431eab4fde8f00b4c2.jpg
342dce0ceb7f4182c51d65c3754db153.jpg
71a247d635dd4a815b09fedb35ce6d2c.jpg
c02368a3cb85ba98a66f831ff8c32814.jpg
3a8c0bf7afe02116ce68c1eefb4d51de.jpg
12730060e12d5030b27c99a6d2827917.jpg
6153d25ab34564b9e1c765a3596f9a3a.jpg
d562d730fad30c46f90fb43aafe901c6.jpg
33c9c8af6af14b7f77b8da96769da5ed.jpg
62c671b1c0e2ba0eb99a266602b6f5a3.jpg
c890246d382d3fc8a4ae28a9785ff14d.jpg
30a47c28bdb6dfd701e9e34962eb8da7.jpg
51e73949b08f645c0c3b5e030facbcc2.jpg
190d3318d7ee3855652c0758ef8edb39.jpg
98c39f6cbefb796b5872e8bb49c8890b.jpg
 
Kenya kuna watu wanaishi kimbwa nguruwe sio kwa vijumba vile !!
 
We Kadoda11 waanza kunichimba sio??? ukinitafuta utanipata, huyo pumba si mkenya ila ni tapeli kutoka tandale masquerading as a Kenyan to con us ,but thank God I spotted him out at first stance .
 
unafurahi sana kuona watz kwa watz wakitofautiana mitazamo...you sound like a defeated guy whose only weapon left is to see disunity or hostility takes among his enemies thinking it might weaken them.

i think you are unaware that even kenyans on JF do engage over each other.
tazama hii
888fde08557e73c0ced624f42db20eb8.jpg
2ddfc1d83796b1e3b998ea65dbd73208.jpg
423efd857c624f621bfd573441f7e819.jpg
1d0407fbda95a05a4335489dff430a72.jpg
ab29180df7037a27f01c3f7e1c8a4d05.jpg
71766f2250c43fe834ff53273d0aa3d1.jpg
cc5d42acd421bf17d66ebbab1fc3d3f6.jpg
0061c7143bfcd0252642f93547287b98.jpg


note that both guys above are kenyans,one from nairobi and the other one from mombasa.



huko ITV Tanzania si watanzania hutofautiana pia....hahaha. how desperate of you......we are talking about Jamii forum members on this thread
 
Back
Top Bottom