Livale
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 739
- 588
Macho yako yakaruka pale pa "according to their official website" na yakaona tu "and Wikipedia". Must be an error of omission. Au JF hapo Dar haionyeshi hip sehemu?Nikajua umesoma source za maana kumbe wikipedia
😀😀
Hakuna usafiri umekua wa haraka bila karaha kama BRT kwa dar na ukumbuke waliongeza bus nyingi sana na sasa wanaleta bus zinazotumia gas sio oil tena kuna city train in dar inayozunguka over 70 km sehemu tofaut tofaut na usichelewe kuna daladala zimejaa kama nzige dar na hazina idadi
Na zinazunguka 24 hrs katika ukubwa wa 1590 km sq mara tatu ya nairobi 😀😀😀😀
Na sasa modern electric train inajengwa itakwenda sambamba na train ya zamani yani ni hatarii
Kumbuka hii ni 2017
Sijakataa mna 70km za reli dar mjini, ila Nai ina 160km za reli mjini, na ukumbuke ki ardhi no ndogo kwa Dar Mara tatu hivi kwahivyo rail per kmsq should be 5times more.
Sijaona popote mtandaoni kumeandikwa BRT yenu ina mabasi 600, nimeona tu ya 140 Mara mbili. Ukiweza kutupea hip tovuti tutashukuru.
Na BRT ni mradi mzuri sana katika kumaliza msongamano, Nairobi yafaa kuiga hilo na serikali imeiweka mpangoni. lakini mabasi 140 pekee hayawezi maliza daladala Dar, ikiwa Nairobi bus companies zina kwa ujumla mabasi takriban 4000 na bado matatu 16000 zasafirisha watu mjini. Na ukumbuke idadi ya watu Nairobi proper ni ndogo kuliko Dar, ingawa ukiongeza na metropolitan area itakua kubwa na asilimia hamsini hivi