Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ni Mtqnzania. Tuache kulinganisha Kenya na vitu vya kijinga kwanza angalia budget yao 90% inatoka fedha za ndani wakati sisi Tz more than 50% inatoka kwa donors
Kifupi hao jamaa wapo juu kutuzidi tukubali tu.
Kabila lako la utqnzania, linatoka bara gani? Kwa africa, ulaya, amerika nk. Halipo, labda unatoka antaktika
 
i would like to recognize the presence of three new comrades in this thread,namely,Uhuru n Umoja,Masterktatos and Stevenbee.

you guys are awesome.thanks for joining with our team.let's keep showing these kenyans how great is tanzania and how beautiful is dar es salaam.

don't forget to remind these kenyans that this is not the tanzania of 90s or 2008...this is the tanzania of 2017 under our strong leader,a no nonsense man,president john magufuli,the bulldozer.

Thank you so much my dearest friend. Huwa nipo nipo sana humu ila kimya kimya mara zote.

Wakenya wengi ni washenzi na wanjaa njaa. taratibu wataisoma namba. Mimi Sipo Tanzania so ni ngumu kupata picha za Dar but nina picha za Warembo wakareee!
 
Thank you so much my dearest friend. Huwa nipo nipo sana humu ila kimya kimya mara zote.

Wakenya wengi ni washenzi na wanjaa njaa. taratibu wataisoma namba. Mimi Sipo Tanzania so ni ngumu kupata picha za Dar but nina picha za Warembo wakareee!
karibu sana mkuu....hata kama haupo tanzania,tayari wewe ni mtz,kwa maana hiyo comment zako na fact zitakuwa na umuhimu sana hapa.
 
wakenya mungu anawaona.
4c64e729ffd8107f522d230e5af22fcd.jpg
 
Mimi ni Mtqnzania. Tuache kulinganisha Kenya na vitu vya kijinga kwanza angalia budget yao 90% inatoka fedha za ndani wakati sisi Tz more than 50% inatoka kwa donors
Kifupi hao jamaa wapo juu kutuzidi tukubali tu.
90% budget yao hehehe😀😀😀😀😀😀
Ama kweli dili tanzania zimebanwa
Vyuma vimekaza pumzika bro
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom