Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kimbia ulete ushahidi, maswali ya nini?? kawaida ya vilaza kama wewe ni kujitia hamnazo! berth 1 na 5 zinahandle conventional cargo, passengers na RORO. Nimekupa hadi link ya KPA. enda ubishane nao.
Nimesoma mm bearth 1 ni container na 5 pia sasa unataka kunidanganya mm 🤣🤣 alaf ukidanganya inakuaje au inabadilisha mombasa port kua na roro au??🤣🤣🤣

Nimeangalia mpaka google earth hakuna roro so ??? Acheni ujinga wa kujisifia vitu hamuna haisaidii kitu wala haibadilishi
 
Kimbia ulete ushahidi, maswali ya nini?? kawaida ya vilaza kama wewe ni kujitia hamnazo! berth 1 na 5 zinahandle conventional cargo, passengers na RORO. Nimekupa hadi link ya KPA. enda ubishane nao.
Where is roro🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2022-12-27-23-50-33.png
 
mbona unaandika kwa mate na wino upo?? nimekupa website ya KPA, wewe unaenda kuokota uchafu??
View attachment 2460364

soma hapo juu berth no. 1 inafanya kazi gani, ingia kwenye website usome zaidi berth no.5 inafanya kazi gani.
Unazingua mzee. Ubishi mwingine wa kipumbavu sasa. Usipende kushindana kila kitu. Unalazisha kitu ambacho huna. Huo ni ujinga sasa.
 
mbona unaandika kwa mate na wino upo?? nimekupa website ya KPA, wewe unaenda kuokota uchafu??
View attachment 2460364

soma hapo juu berth no. 1 inafanya kazi gani, ingia kwenye website usome zaidi berth no.5 inafanya kazi gani.
Nakwambia bearth 5 ni general na ni general cargo lakini ro ro kama ro ro inayojitegemea hamuna ndio maana magari munashusha kokote hasa kwenye container bearth 🤣🤣🤣🤣
 
Unazingua mzee. Ubishi mwingine wa kipumbavu sasa. Usipende kushindana kila kitu. Unalazisha kitu ambacho huna. Huo ni ujinga sasa.
Nakwambia bearth 5 ni general na ni general cargo lakini ro ro kama ro ro inayojitegemea hamuna ndio maana magari munashusha kokote hasa kwenye container bearth 🤣🤣🤣🤣

endeleeni kulia, msonge pembeni musikie vibaya kabisa ...
 



endelea kubisha, maumivu yakizidi tafadhali kamuone daktari.

Sijakwambia hamushushi magari ila nakwambia ro ro bearth hamuna labda hujanielewa 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana munaeza shusha magari kwneye container bearth kama hvi ila ro ro kama ro ro bearth hamuna hilo weka akilini
Screenshots_2022-12-28-00-12-16.png
 

Sielewi… what’s the fuzz here … a low ranked Chinese PLA official visit… what’s your point…. We get foreign Generals and we don’t see it as a big deal…. What goes ndani ya bongo zenyu sometimes…. It’s beyond inferiority complex…
 
KDF is the only military in Africa… I repeat again only in the African continent that uses SCAR guns as the
305CE511-70A8-4879-9F0D-AC4A36B21BB5.jpeg
basic weapon for all its infantry units… these rifles were created originally for the US special forces and still regarded as the best in the market….. sasa kojoeni mkalale..🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom