Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siyo yeye tu, kuna account kibao za Wachina wa serikali wanatwet mpaka kiswahili daily kupromote Tanzania.
Hiyo Safi sana. Kupata audience kwa Nchi yenye population kubwa kama China na vile ina uchumi mkubwa italeta impact kubwa sana kwetu.

Nimeona mwaka huu pekee China imepata mabilionea wapya zaidi ya 100. Hivyo unaweza kuona Kuna fursa nyingi zinaweza kutokea katika biashara na uwekezaji.
 
Sema Dar port ndogo sana
View attachment 2459619
Over the yeas tuanze ku expand Kigamboni Side , tuiwekee New Container terminal na cruise ship terminal. 1 bn usd is enough to make 4,300 meter berth and their handling facilities . Issue kubwa itakuwa ku ya conect na SGR ambayo itabidi wajenge a railway bridge kama kigamboni bridge ku cross the port au reli ya kuzunguka upande wa kigamboni.kuchukua mizigo.

Hii ni short term suggestion , Long term , tuanze Kushusha Berth 5 za maana Bagamoyo Port . na kuziconnect na SGR
 
Green City under the Sun

Image
Hili pori linaitwaje hapo nairobi 🤣🤣🤣
 
Over the yeas tuanze ku expand Kigamboni Side , tuiwekee New Container terminal na cruise ship terminal. 1 bn usd is enough to make 4,300 meter berth and their handling facilities . Issue kubwa itakuwa ku ya conect na SGR ambayo itabidi wajenge a railway bridge kama kigamboni bridge ku cross the port au reli ya kuzunguka upande wa kigamboni.kuchukua mizigo.

Hii ni short term suggestion , Long term , tuanze Kushusha Berth 5 za maana Bagamoyo Port . na kuziconnect na SGR
Mim sijui hayo mambo.. lkn hio container terminal kwann wasiwekeze kule kwala.. yan kila siku MGR na SGR baadae zitakuwa zinatoa containers hapo bandarin na kuzipeleka kwala.. sijui sana lkn ni mawazo tu kwann wasipeleke kwala
 
Mkunya a-design building in Tanzania? Uwezo wenu huishia Kibera!
Pole kwa maumivu.

TPA tower was designed by Kenyans
Rock city Mall Mwanza was designed by Kenyans
Tanzanian parliament in Dodoma was designed by Kenyans
East African Parliament in Arusha was designed by Kenyans.
 
Wewe ng'ombe kweli, cargo yote ya Rwanda, Burundi, 40% ya DRC, 60% ya Zambia ,50% ya Malawi and others zinapita Tanzania
Asante kwa kutulea porojo😂😂😂

Ati cargo zote za Rwanda and Burundi zinapita Dar?😂😂😂

tapatalk_1656411524772.png
 
Kama cargo zote za Tanzania ndio hazipitii Dar, what cheats you that ya Burundi na Rwanda ndio zitapita Dar?😂😂

1672162149833.png
 
Pole kwa maumivu.

TPA tower was designed by Kenyans
Rock city Mall Mwanza was designed by Kenyans
Tanzanian parliament in Dodoma was designed by Kenyans
East African Parliament in Arusha was designed by Kenyans.
So ?? Mbona hamkujenga sasa 🤣🤣🤣🤣
 
Kama cargo zote za Tanzania ndio hazipitii Dar, what cheats you that ya Burundi na Rwanda ndio zitapita Dar?😂😂

View attachment 2460148
Kwanza unajua maana ya hii taarifa na hii taarifa imekuja tu baada ya upanuzi mkubwa wa dar port ndio taarifa hzi zikaibuka sasa upanuzi uko mbioni kumalizila msubiri muelewe maana ya hii habari🤣🤣🤣🤣

 
Yeah wanajitahidi , Nssf Projects get that sometimes , Wako na Project nyingne Mwanza .
Hata huku kwetu ni hivyo tu. NSSF scaled down Hazina Towers from the initial 39 floors to the current 24 floors. There were corruption allegations though
 
Mim sijui hayo mambo.. lkn hio container terminal kwann wasiwekeze kule kwala.. yan kila siku MGR na SGR baadae zitakuwa zinatoa containers hapo bandarin na kuzipeleka kwala.. sijui sana lkn ni mawazo tu kwann wasipeleke kwala
Kwala si wameshawekeza , kule ile ni dry port tu , lakini distance etc itaifanya isiwe favorable kama kuweka facilities hapo hapo Port.Kwa ninavyoona , Kwala move was good but imo not the best. Berth Nyingne kujengwa means more ships can be served ndani ya muda mfupi hence hata Kwala will get more Containers
 
Back
Top Bottom