Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,752
Kwa jinsi Kunyaland mna wivu wa kike na hii pia mtabisha 😜😜Why should we care? Na mko number last kwa top ten.🤣🤣🤣
Hater wa Samia una nongwa Sana baada kuona SSH ,ana Mu outshine yule mwenye bichwa kubwa ambae alikosa akili ambae wewe kima Ni mfuasi wake 😂😂😂😂.Mtu ajitokeze amuelekeze huyu mwehu anaejifanya anajua vitu 😀 jinsi ya kuattach tweet ya twitter, anatujazia tu mapicha wakat kuna option ya kuleta link ya tweet
Ndo maana tukisema Mombasa port iko outdated usibishe! Dunia ya leo magari yanashafirishwa na RORO shipping lines!
umeeangalia hiyo clip au "unaropokwa"? All over the world most cars brandnew or used r transported by Ro-Ro ship lines! Ni Ukunyani tu gari zinasafirishwa na containers!For Cheap outdated 10yrs + cars.
Ndio zipigwe na jua sawa sawa kwa port!!!
Poor countries.
Sasa mbona huko kunyaland mna design majengo yanayodondoka kila mwezi. Yani mshindwe kwenu muweze kwa jiraniPole kwa maumivu.
TPA tower was designed by Kenyans
Rock city Mall Mwanza was designed by Kenyans
Tanzanian parliament in Dodoma was designed by Kenyans
East African Parliament in Arusha was designed by Kenyans.
si ndo maana nawaambia hamna kitu! eti wame-design? hio kampuni ya Kikunya ili-subcontract another overseas company! Kunyaland kama Kunyaland hamna kitu inajua!Sasa mbona huko kunyaland mna design majengo yanayodondoka kila mwezi. Yani mshindwe kwenu muweze kwa jirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa wapi mwaswast? Wenzako wanahaha huku.Battle imechacha Tanzania 1 - 1 Kenya
Kuzurula huku Kuna faida Sana wewe mbwa Koko wa Sukuma gang.Uhuru wa kujieleza huanika majuha wengi sana, kiongozi wa nchi anazurula halafu alete tija .
Yakheee...tumalize mwaka vizuri...Kuzurula huku Kuna faida Sana wewe mbwa Koko wa Sukuma gang.
Mojawapo Ni hii hapa 👇View attachment 2460705