The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Na ndio huu mwaka TPA iliweka rekodi ya mapato 👇Yaani kifupi ni hesabu za kawaida sana.
Kama ongezeko ni 14.9% ambayo ni sawa na 2.8M so
19.8+2.8 = 22.6 au hataki?
Na ndio huu mwaka TPA iliweka rekodi ya mapato 👇Yaani kifupi ni hesabu za kawaida sana.
Kama ongezeko ni 14.9% ambayo ni sawa na 2.8M so
19.8+2.8 = 22.6 au hataki?
Yaani unatolea mfano nchi iliyofeliZambia wanamashirika matano ya umeme, just google siwezi mention itakua spoon feeding. Zambia ni majirani zetu wala sio mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Tanzania is the most beautiful Country in the Earth just behind Brazil,Maumivu peleka kibera 😜😜..Mbona mnakuanga wajinga hivi? You think Tanzania is the only country with natural attractive places?
Okey,hakuna neno tuendelee kujivuta tutafika tuBasi kama umeshindwa kujibwa swali hilo. Basi unatakiwa uelewe maendeleo hayashuki tu wala hayatokezi tu kama jua Maendeleo ni process.
1. Kutambua ulichonacho
2. Kujua jinsi ya kukitumia ulichonacho
3. Kutafuta uwezo wa kukitumia ulicho nacho
4. Kutumia ulichonacho kwa faidia
5. Kuanza kupata maendeleo.
Hatujivuti tunaenda kwa mwendo unaotakiwa.Okey,hakuna neno tuendelee kujivuta tutafika tu
Tunatakiwa tukue kwa double digits
Tunatakiwa na nani? Kwani dunia inaisha kesho?Tunatakiwa tukue kwa double digits
Kuna uzuri wowote kwenye hii picture?😅😅Mnaumia sana mibongolala. Ulitarajia kuona dreamhouses kila mahali na mpangilio mbovu kwenye picha kama hiyo kama ilivyo Dar 😃
Ugua pole
Usiwe kama jiwe kijanaTunatakiwa na nani? Kwani dunia inaisha kesho?
Usinilazimishe kufikiria kama wewe. Kila mtu ananamna yake ya kuelewa mambo.Usiwe kama jiwe kijana