Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya wakifikia viwango hivi mniambie

1672056706150.png
 
Kwa resources hizi Basi ilitakiwa tuwe No1 kwa uchumi Africa nzima....lakini kwa bahati mbaya mambo yako tofauti kabisa
Sasa unakuwa namba moja kwa kuwa na resources au kwa kutumia resources. Ingekuwa hivyo basi Russia ingekuwa na uchumi mkubwa sana duniani. Nadhani kuna mahali haupo sawa.
 
Sasa unakuwa namba moja kwa kuwa na resources au kwa kutumia resources. Ingekuwa hivyo basi Russia ingekuwa na uchumi mkubwa sana duniani. Nadhani kuna mahali haupo sawa.
Kama zipo na hazitumiki huoni ilo ni tatizo?
Ulisoma wapi wewe?uko kichwani kuna kitu kwel?
 
Kuna majina ya maeneo yao yamekaa kaa kama hilo neno, mfano, KARIA DUDU sijui kalia dudu [emoji1787] , DONGO KUNDU etc [emoji1787]
Kumbe ni wewe ndio uliwabatiza na jina limewakaa kwelikweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilo swali sitalijibu
Basi kama umeshindwa kujibwa swali hilo. Basi unatakiwa uelewe maendeleo hayashuki tu wala hayatokezi tu kama jua Maendeleo ni process.
1. Kutambua ulichonacho
2. Kujua jinsi ya kukitumia ulichonacho
3. Kutafuta uwezo wa kukitumia ulicho nacho
4. Kutumia ulichonacho kwa faidia
5. Kuanza kupata maendeleo.
 
Kapata ahueni [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unamuiga mnuka mavi, mwenzio akili hana, wewe utaishia kukimbia humu kwa maumivu lkn mwenzio akili hana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa niumwe na nini hapo bongolala? Are you losing your mind?
 
Back
Top Bottom