NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,747
- 49,633
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Majina yanatisha tisha mkuuKariobang, Gorogocho, Bangladesh yaani kijehenamu jehenamu!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Majina yanatisha tisha mkuuKariobang, Gorogocho, Bangladesh yaani kijehenamu jehenamu!
Hii mnaiachaje? 😅😅😅Kuna majina ya maeneo yao yamekaa kaa kama hilo neno, mfano, KARIA DUDU sijui kalia dudu 🤣 , DONGO KUNDU etc 🤣
Kwahiyo ukaona na wewe upige humohumo, we mzee mtu mbad sana…..ila linawafaa poa kabisa, nadhani hata wao wanalipenda😂😂Kuna majina ya maeneo yao yamekaa kaa kama hilo neno, mfano, KARIA DUDU sijui kalia dudu 🤣 , DONGO KUNDU etc 🤣
We jamaa itakuwa uko kwenye sekta ya utalii, sio kwa madini haya, asante kwa kutuheshimisha, tunasuburi watuletee vivutio vyao vya wizi na zile mbuga zao zao za mipakani ambazo zinategemea uhai wetu😅Destinations
Northern Circuit
Southern Circuit
- All Northern Regions (22)
- Arusha City
- Arusha National Park
- Lake Chala
- Lake Manyara National Park
- Lake Natron
- Mkomazi National Park
- Mount Kilimanjaro National Park
- Mount Meru
- Mount Ol doinyo Lengai
- Ngorongoro Conservation Area Authority
- Olduvai Gorge & Laetoli
- Serengeti National Park
- Tarangire National Park
Eastern Circuit
- All Southern Regions (26)
- Kilwa Kisiwani
- Kitulo National Park
- Lake Ngosi
- Lake Nyasa
- Mbozi Meteorite
- Mikumi National Park
- Ruaha National Park
- Selous Game Reserve
- Udzungwa National Park
Western Circuit
- All Eastern Regions (16)
- Amboni Caves
- Bagamoyo Town
- Dar es Salaam City
- Dar es Salaam Marine Reserve
- Lushoto Town
- Mafia Island Marine Park
- Pangani Town
- Saadani National Park
- Usambara Mountains
- Zanzibar Island
Lazima wahahe. Najua inawauma ila itabidi wazoee.We jamaa itakuwa uko kwenye sekta ya utalii, sio kwa madini haya, asante kwa kutuheshimisha, tunasuburi watuletee vivutio vyao vya wizi na zile mbuga zao zao za mipakani ambazo zinategemea uhai wetu😅
Mbona mnakuanga wajinga hivi? You think Tanzania is the only country with natural attractive places?We jamaa itakuwa uko kwenye sekta ya utalii, sio kwa madini haya, asante kwa kutuheshimisha, tunasuburi watuletee vivutio vyao vya wizi na zile mbuga zao zao za mipakani ambazo zinategemea uhai wetu😅
Yes after BrazilMbona mnakuanga wajinga hivi? You think Tanzania is the only country with natural attractive places?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kwahiyo ukaona na wewe upige humohumo, we mzee mtu mbad sana…..ila linawafaa poa kabisa, nadhani hata wao wanalipenda😂😂
Kwani kwenye render umeona cranes?