Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa render leta real pictures sasa ikionesha hzo boats hio marina mm nishafika haya tuoneshe sasa
Wakenya bhn ni waongo sana aisee analeta render ili kujifariji akidhani watu wataingia mkenge, yn hawa mbwa ukizubaa tu wamekupiga

Yani bora asipitwe na Tz kaona alete hata render, jamaa wanaumizwa sn na Tz wallahi
 
Siku ikitoke wakenya wakawa na Water Sports kama hizi. Haki ya nani nahamia sayari nyingine

1671778300556.png
 
Haya nioneshe hio sehem ya maegeshi ya boats ziko wapi hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unaleta picha za render wakat mwekezaji mwenyewe anajuta hakuna biashara na hio sehem yote juu ni mbao kwa ajili ya kutembea View attachment 2455366
Nilikua na nimeenda kutafuta nimkamate 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msenge, muongo kinoma.. yupo radhi adanganye Ili waonekane wapo vizur na wao 🤣🤣🤣.
 
Nilikua na nimeenda kutafuta nimkamate 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msenge, muongo kinoma.. yupo radhi adanganye Ili waonekane wapo vizur na wao 🤣🤣🤣.
Hata usihangaike bro hio hoteli naijua nishafika mpaka picha nilizopiga ninazo mwambie adanganye aone mtiti hata usihangaike dawa yake ninayo mm 🤣🤣🤣
 
Nimefuatilia comments zako zote tangu ujiunge 2016 hapa JF. 99.9% ya comments zako ni kwenye jukwaa la kenya news.
Comment chache sana kwenye sports na habari mchanganyiko.

Taungu ujiunge mwaka huo umekuwa unatumia wastani wa masaa 16 kila siku kuwemo JF.

Hii inanipa wasi wasi sana.
Nadhani kuna kitu ulikuwa unakitegemea kimegonga mwamba sasa huna matumaini tena.

Mtu akikosa matumaini hubadirika na kujikataa. Anaweza akafanya chochote maana hana future tena.

Kwa namna nilivyofuatilia comments zako zinaonesha wewe ni kijana umri wako ni kati ya 25 mpaka 36.

Nakusihi wewe bado ni kijana, unanguvu. Usijikatie tamaa.

Uliijiingiza kwenye siasa bila kujua kuwa unaingia kwenye siasa. Hukuwa na maandalizi.

Nakusihi kaa nje kidogo na JF kwa muda wa miezi mitatu mpaka mitano ili akili yako ikae sawa.

HUU NI USHAURI TU.

Kwa taarifa yako sitiacha kukusahihisha ukikosea,Fuatilia na comment zangu zote kama unanafasi iyo,poor you
 
Back
Top Bottom