Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo lipa kwa simu zimetapakaa Tanzania nzima.
Hadi kwa mama ntilie, machinga wanazo.
Naweza tembea Tanzania nzima bila cash na nisipate usumbufu aina yoyote.

Kuna mtu alishawahi kushare tweet humu ya mkenya akishangaa namna huduma ya lipa kwa simu ilivyo sambaa Tanzania.
Munajifanya hapa na wenzenu washakubali bado hamja achieve a cashless system.

 
Munajifanya hapa na wenzenu washakubali bado hamja achieve a cashless system.


Hao wanao comment wenyewe hata wanaishi wapi sijajua.. anyway sahii nadaiwa parking fee enye nategemea pia kulipa cashless 👇
TimePhoto_20221216_124400.jpg
 
Unaumia sana .. zoea ukweli mademu wa kenya ni wabovu+ roho mbaya kama sura zao
Haubadilishi lolote, mmedharauliwa bana.., jikubali hautapigwa na mtu, hiyo ndio hali yenu, poleni.😂 😂 😂 😂 😂
 
There was only one British in that operation and this information is readily available all over the internet sasa wewe sijui ni kwa nini unalazimisha kwamba walikuwepo wengi. Secondly, the guy did not engage the terrorists, he helped in evacuating civilians. Hii tabia ya kupenda mabishano na kulazimisha mambo kumbe ni ya kila mtanzania!
Huyo pembeni baada ya disease ni nani ni black mkenya au?
ncpm7lst3fybqhyt5c4045f7a7162.jpg
 
Back
Top Bottom