Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila nchi iko na taratibu zake. Si lazima yetu ifanane na yenu. The mandate of the KDF is to protect Kenyan borders against external attacks. Ulinzi wa ndani ni kazi ya polisi, si wanajeshi
Haujanijibu swali kijana, nataka kujua kazi ya jeshi lenu ni nini.?
 
Kwani nyinyi hamujui kama serekali yenu inapika data ili iwatulize mioyo yenu au leo unakataa🀣🀣🀣🀣🀣
Wakenya sio maboya ama zezeta wakudanganywa kirahisi.., Kenya's govt is not propagandist bana., viongozi wetu wenyewe wataumbua serikali if they try any hogwash like u have in TZ.., usitaje Kenya sentensi moja na Tanzania when speaking about propaganda..., maybe corruption(ufisadi) ndio kero kidogo lakini sio propaganda..,
 
Hamjambo mibongolalaπŸ˜‚
Naamini kila kitu kishwari hapo Tanganyika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2449635
Watu wakujipiga kifua wamefyata πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
screenshot_20221216-213957-2-png.2449635
 
Haujanijibu swali kijana, nataka kujua kazi ya jeshi lenu ni nini.?
Ni kizungu huelewi ama ni nini? Didn't you see the part I said that the mandate of the KDF is to protect the boundary of Kenya againt external attacks?
 
Watu wakujipiga kifua wamefyata πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
screenshot_20221216-213957-2-png.2449635
Yani domodomo bila vitendo. Watu wanaleta watoto wao Kenya wasomee urubani lakini utasikia wakisema vile elimu yao bi bora kuliko yetu
 
Kubali kwamba you got dissapointed bongolala. Stop looking for flimsy excuses baada ya buret train kugeuka na kuwa vitu vingine. I can feel your pain and dissapointment
Kijana tulia upakatwe burretti zitakuja tuu usiwe na shaka.
 
Usisahau kwamba Dom ni mji ulioanza kujengwa upya juzi tu hapa na ndiyo utakuwa most modern and organized in the region utake usitake.
Tunajua hamjazoea kuona vitu kama hizo. Ni mambo ya kawaida huku kwetu sababu zipo hadi vijijini
 
Matatu za Mwanza jo!.., old school, Tz bana πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kwa elimu gani uliyonayo haunaga hata aibu mzee wa kudownload hela na kujimwambafy.

Ungekua smart usingekua unaandika broken humu watu wanakusahihisha mara kadhaa. Jifunze kuishi low profile sio unaleta arrogance ya kizembe.

Ungekua busy usingekua daily unaandika humu. Maana yake unamuda mwingi wakuchezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hana kazi mda wote yupo JF
 
Back
Top Bottom