7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Aisee jibu la kibabe hiliKwa elimu gani uliyonayo haunaga hata aibu mzee wa kudownload hela na kujimwambafy.
Ungekua smart usingekua unaandika broken humu watu wanakusahihisha mara kadhaa. Jifunze kuishi low profile sio unaleta arrogance ya kizembe.
Ungekua busy usingekua daily unaandika humu. Maana yake unamuda mwingi wakuchezea
Sent using Jamii Forums mobile app






