Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa elimu gani uliyonayo haunaga hata aibu mzee wa kudownload hela na kujimwambafy.

Ungekua smart usingekua unaandika broken humu watu wanakusahihisha mara kadhaa. Jifunze kuishi low profile sio unaleta arrogance ya kizembe.

Ungekua busy usingekua daily unaandika humu. Maana yake unamuda mwingi wakuchezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee jibu la kibabe hili
 
Caption Mtaweka Wenyewe…..😅😅
C1C2324F-6EBE-4B36-9090-24D5376F6F30.jpeg
 
Kàzi ya jeshi lenu ni nini mzee.? naomba unifundishe
Kila nchi iko na taratibu zake. Si lazima yetu ifanane na yenu. The mandate of the KDF is to protect Kenyan borders against external attacks. Ulinzi wa ndani ni kazi ya polisi, si wanajeshi
 
Kila nchi iko na taratibu zake. Si lazima yetu ifanane na yenu. The mandate of the KDF is to protect Kenyan borders against external attacks. Ulinzi wa ndani ni kazi ya polisi, si wanajeshi
Labda nikupe history kidogo tanzanian suala la vita ya congo halikuanza leo wala jana na uhuru wao umetokana na jeshi la tanzania sasa leo munaona ajabu kupeleka jeshi congo wakat kwa tanzania ni mambo ya kawaida sana 🤣🤣 yani munachekesha sana
 
Labda nikupe history kidogo tanzanian suala la vita ya congo halikuanza leo wala jana na uhuru wao umetokana na jeshi la tanzania sasa leo munaona ajabu kupeleka jeshi congo wakat kwa tanzania ni mambo ya kawaida sana 🤣🤣 yani munachekesha sana
Hii ndio ubaya wa kudandia kisichokuhusu. Ni wapi nimetaja Congo kwenye sentensi yangu? Read to understand bongolala. Huu mwasho wote umetoa wapi asubuhi hii?!
 
Back
Top Bottom