chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Siafikiani na nauli zao lakini unachekesha sana kufananisha nauli za bullet train na train zenu za kuni 😂😂😂Hawa watu wananyonywa kweli kweli. Ati fare from Dar to Morogoro a distance of 200km ni ksh 1,300. Mombasa to Nairobi a distance of 450km is ksh 1000.😂😂
View attachment 2440639
Ninyi kwanza ilitakiwa iwe bure kabisa
