Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Google earth nayo ni 'pictures'?
Ni Google Streetview, sio Google earth and yes, Google Streetview ni pictures you technologically challenged mofo. Najua haipo uko kwenu, hamwezi elewa.
 
Mbona pale Mbezi beach zote ni za vumbi na zina majina? ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
20221124_135741-jpg.2439637
View attachment 2440285
Mbezi beach ndio inafuata Masaki? Yani ni kama Runda au Muthaiga hivi ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Mbezi beach ndio inafuata Masaki? Yani ni kama Runda au Muthaiga hivi ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hiyo ndio Kitisuru ya Dar es Salaam. Yani number 4 after Masaki, Oyster Bay na Mikocheni. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
 
Hiyo ndio Kitisuru ya Dar es Salaam. Yani number 4 after Masaki, Oyster Bay na Mikocheni. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
Hawa watu wako nyuma sana aise. I am imagining the level of kitisuru and the pictures I am seeing above nabaki tu nikicheka
 
Hawa watu wako nyuma sana aise. I am imagining the level of kitisuru and the pictures I am seeing above nabaki tu nikicheka
Kitisuru yenyewe access Roads zinakaa hivi alafu mpinzani wake Dar ni vumbi tupu. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
Screenshot 2022-12-09 000249.jpg
Screenshot 2022-12-09 000249.jpg
 
Sio limbwata ni nn..?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
Sababu Baadhi yake Ni hizi hapa,
1.Umaskini wa watu Ni kete muhimu ya ushindi wa CCM.Hakuna Demokrasia kwa jamii maskini wenye.pesa ndio watapeta.
2.Illiterate,hapa Tanzania Ni ya mwisho mbele ya Burundi tuu kwenye elimu kuanzia Sekondari kwenda Juu..
3.Upinzani njaa,hapa hata hawajielewi wanafanya siasa ambazo hazilingani na mazingira ya Kitanzania.
4.Historia ya Nchi na Ujamaa imejenga dhana ya woga na kutokuwa aggressive kwenye masuala mbalimba kwa hiyo hii inaipa advantage CCM kufanya wanachojiskia..
 
Back
Top Bottom