instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Sasa mnakuja Tz kufanya nini? Si mkae kwenu kama mnaona mko poa sanaHilo swali usiulize mkenya wala mtanzania..., tafuta mgeni kabisa, a nuetral person asie mkenya wala mtanzania ndio utapata objective answer.., swali hilo hapa sana sana kwa boya kama wewe ni blind patriotism itasukuma hisia zako but not reason.., kuna youtube kibao tu za hisia za wageni na experience yao kati ya Kenya na Tz..,
Kwangu mimi Tanzania ni kama Mombasa ama pwani ya Kenya kimaisha.., laid back and relaxed living, not fast paced, with village type living, maisha ya kinyumbani sana na ungwana flani hivi..,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app



