kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,638
- 4,277
$1 million and it looks the same as the Kenyan wagons, but with uglier colors. 🤣 🤣
I just want you to ask these Tanzanians to justify that price then sit down and enjoy the kind of idiotic reasonings they will be giving😂😂$1 million and it looks the same as the Kenyan wagons, but with uglier colors. 🤣 🤣
Subira yavuta heri,sijataka kujiingiza kwenye overexpectations ,Bado naamini kuna Mali itakuja safi...until isiwe hivyo ndio nitasurrenderIf I were you ningepunguza expectations zangu.
Inferiority complex.Tofauti ya wagon za Kenya na za Tanzania gani?
From what I can see, the only difference is the paint job, but I prefer Kenya's colors.
View attachment 2439851
View attachment 2439852
Unajua maana ya hilo neno kweli wewe bongolala?Inferiority complex.
The same way someone who is used to driving a Rolls Royce wouldn't buy a probox.Why?
RR Kwa Probox is a world Apart,But sioni ikiivana hasa na huo mfano uliotoaThe same way someone who is used to driving a Rolls Royce wouldn't buy a probox.
HDI data inakusaidia nini wakati mnakufa kwa njaa, no formal housing kwa majority while medical services mnapata kwa jirani. Use your brain properly.IQ yake ni below average, la sivyo hangekurupuka., some of these guys make my day, comedians sana![]()
Those Westlands photos are epic!
Bongolala, I come from a border town and I can't count the number of times I have met tanzanians coming for treatment in our local referral hospital from as far as Tarime. Use your brain properly tooHDI data inakusaidia nini wakati mnakufa kwa njaa, no formal housing kwa majority while medical services mnapata kwa jirani. Use your brain properly.
Hawa wanaongea tu mradi Mungu amewapa uwezo wa kupumuaIQ yake ni below average, la sivyo hangekurupuka., some of these guys make my day, comedians sana😂😂😂😂😂😂
Huo mtaa uliopost naweza ufananisha na Ruai ya Nairobi ambayo wengi wenu humu husema ni slum ama Syokimau, Kitengela na Kiserian- hiyo ni mitaa ya watu wa Kawaida hapa Nairobi. Kwa Karen bado saaana.RR Kwa Probox is a world Apart,But sioni ikiivana hasa na huo mfano uliotoa
Hizi zina HVAC, wifi na AV system pia hii ina high speed bogie unlike yenu haina hata kimojawapo nilichotaja hapo juu so price haziwezi kulingana.
Veges zote tunazokula Nairobi zinalimwa Arusha? 🤣 🤣 🤣Angalia mkeka wake alivyoupanga, naona we umekuja na mkeka tofauti.Point yangu ni kwamba Arusha na Mbeya ziko green na hata vyakula vinavyozalishwa katika mikoa iyo miwili ni vingi sana.
Veges zote mnazotafuna hapo NBO zinalimwa Arusha,(zote mnazoagiza Tz to be specific)carrots, green pepper, vitunguu,ndizi nk
Nipe faida za huo ukijani wa Nakuru
Huo mtaa uliopost naweza ufananisha na Ruai ya Nairobi ambayo wengi wenu humu husema ni slum ama Syokimau, Kitengela na Kiserian- hiyo ni mitaa ya watu wa Kawaida hapa Nairobi. Kwa Karen bado saaana.
Syokimau wenyewe mtaa wa juuzi ulikuwa kichaka 10 years ago na already kuna barabara na umepangwa kushinda hapo.
View attachment 2439888![]()
Kitengela nao mtaa mwengine wa juzi sana. 10 years ako hili lilikua eneo la Wamaasai kulisha ng'ombe already una barabara poa kuliko your 4th best neighborhood.
Ndio maana nasema utakua kichaa kulinganisha huu mtaa na Karen na sisemi tu kwa ushabiki. The best neighborhood in Dar es Salaam ikija Nairobi kutoboa top 20 itakua Kibarua.
Bado haimake sense.Huo mtaa uliopost naweza ufananisha na Ruai ya Nairobi ambayo wengi wenu humu husema ni slum ama Syokimau, Kitengela na Kiserian- hiyo ni mitaa ya watu wa Kawaida hapa Nairobi. Kwa Karen bado saaana.
Syokimau wenyewe mtaa wa juuzi ulikuwa kichaka 10 years ago na already kuna barabara na umepangwa kushinda hapo.
View attachment 2439888![]()
Kitengela nao mtaa mwengine wa juzi sana. 10 years ako hili lilikua eneo la Wamaasai kulisha ng'ombe already una barabara poa kuliko your 4th best neighborhood.
Ndio maana nasema utakua kichaa kulinganisha huu mtaa na Karen na sisemi tu kwa ushabiki. The best neighborhood in Dar es Salaam ikija Nairobi kutoboa top 20 itakua Kibarua.
Mwanza TanzaniaTanzania utoe wapi greenery kama hiiView attachment 2439595
Hapa naona main Road - nadhani ni ile ya bagamoyo. Yani mtaa wa nne kwa utajiri hapo Dar ukitaka kuona lami lazima uende kwa main road? Nakubaliana na NairobiWalker - Dar sii level ya Nairobi.Ile picha ni sehemu ya mbezi na sio mbezi yote...Mbezi barabara zipo kibao tuView attachment 2439828View attachment 2439829