Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
A worthy response, mature, imeenda shule. Kudos.Well said,
Sio vita ni bidii,Hata ivyo na sisi tunapambana na yetu, Nimeona waziri wa fedha akisema tutafika huko 2050 nikashindwa kumuelewa BUT sipendi stress sikutana kuifuatilia kiundani hiyo habari.
Angalia South africa wako upper middle income kitambo na wanateseka na wealth inequality na unemployment sana...
Muhimu usimame vizuri wewe na familia yako na jamaa zako

