Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona mazuzu watatu wamelike ushuzu wako. Sikulaumu najua unatumia asilimia moja ya ubongo kama watadanganyika wenzako.
Kwn nilichosema ni uongo? Haya leta uthibitisho kama MGR yenu inakaribia na sgr yetu ya umeme
tapatalk_1600250386140.jpg
tapatalk_-78647161_384x512.jpg
 
Kenya haitokuja kuwa na BRT system, cable stayed bridges wala SGR ya umeme mpk dunia iishe, na wakitaka kujenga hizo infrastructures basi wabomoe kila kitu waanze upya kitu ambacho hakiwezekani
 
think kenya is tanzania's biggest foreign investor..

even this PrecisionAir thing is a kenyan thing

coz i still remember in the early 2000s on Capital Fm Radio, during the programmes..
'Hits-Not-Home' and 'Pepsi-Generation-Next'..

i used to hear about PrecisionAir alot.!
and was a fully kenyan thing tht tyme, it was not even in tz then, if am not wrong....! ama?

unless something is up with my memory..

View attachment 2438367
Your memory is f****d up.
 
Wacha kujificha nyuma ya excuse uchwara eti "kuabudi kiingereza" kumbe wengi wenu hamuna huo uwezo, semi-illiteracy ndio sababu ya nyie kukuwa zezeta maana ni lugha mnafunzwa shule..., Tanzania sio a Francophone country, ni Swahili na Anglophone, ujinga tuondolee, baki nao kulee vijiweni mjidanganye na mazezeta wenzio., chief akiwa The best 007
Kama Tz ni swahili na Anglophone mnashangqa nini sasa mtanzania kuzungumza kiingereza kizuri kama sio watumwa wa akili nyie.
 
Tuna infrastructures za kisasa nyingi ambazo nchi maskini za EA hazina na hazitokuja kuwa nazo mpk kizazi cha wazembe kama nyie kifutike chote na watoto wenu pia wafutike ndio mtakuja kuwa nazo, sio kwa ubaya lkn
Hot air.

IMG_20210712_220639.jpg
 
Naona mazuzu watatu wamelike ushuzu wako. Sikulaumu najua unatumia asilimia moja ya ubongo kama watadanganyika wenzako.
Imebidi niangalie ni akina nani wamelike ili niongeze na yangu kumbe kitambo sana nilishalike, yaani nimefurahi sana nilivyojikuta nilishapiga like hadi nimejipiga kifuani kujipongeza jinsi ulivyoumia
 
Imebidi niangalie ni akina nani wamelike ili niongeze na yangu kumbe kitambo sana nilishalike, yaani nimefurahi sana nilivyojikuta nilishapiga like hadi nimejipiga kifuani kujipongeza jinsi ulivyoumia
ZUZU WEWE
 
Back
Top Bottom