Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maabara ya Mlonganzila Sasa imekuwa certified na inatambulika Duniani 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221129-193244.png
    Screenshot_20221129-193244.png
    157.8 KB · Views: 8
Pulse rate 48bpm wakati bp iko normal?
Tumia manual sphygmomanometer to measure BP and count pulse rate kwa vidole viwili kwenye radial artery ku counter check
ubu.png


Ukifanya mazoezi pulse inashuka, mimi huwa nakimbia 4miles (6.5km) karibu kila siku ndani ya dakika 31 na ushee. Umbali huo ni sawa na kutoka DIT (morogoro road) mpaka Urafiki.

ki.jpg

Hii ni app ya Adidas nayotumia ku-track maendeleo ya mazoezi. Utaona hapo kwenye kilomita ya kwanza nimetumia dakika 4:26, ya pili 4:28 na kadhalika. Jumla ni dakika 31:23.
 
View attachment 2431403nani kasema hapa ni kwa 'Mkahawani' (sijui nyinyi mnaita eti 'Mgahawani' sijui nn)..... ok.

but my sweethrt, this is just inside a normal supermarket in kenya dear...!!


nb: in our normal average size supermarkets.. we have a 'full bakery section' making all sorts of cookies, breads, cakes, doughnuts etc etc

i recently realized thru' research tht, this concept of having a 'Full Bakery Section' inside a supermarket and a 'Full Eatery Section' [Hotel] inside a normal size supermarket... is a 'concept' only reserved for a more sophisticated emerging economies like south africa, egypt or kenya....

and not the level of Least-Developed-Countries like Tanzania or Burundi for instance...


still fully inside a Supermarket here, after doing shopping inside.. sasa ni kupigia mwili pole.. mle mle ndani tu, sio 'Mgahawani' ya nje..
truely kenya is among the handful few more sophisticated and technologicaly advanced economies in africa..

View attachment 2431366View attachment 2431367View attachment 2431368View attachment 2431369View attachment 2431396
Kiswahili sanifu ni mghahawa. Ukisema mkahawani maana yake ni kwenye kahawa.

Hata kama ni supermarket lakini hapo ndani bado wana mghahawa wa kupata chakula na mighahawa iko kila mahali hata Airport kuna mighahawa.
 
si u still remember around august we discussed here in detail on matters related to high blood pressure.
and that Normal or Ideal Range fall between 90/60 to 120/80...

till i had to just check my levels at random..
but i've always been ok, ever since i was born, thank u lord and eimen in jesus name... (though am very much aware tht my lifestyle eating habits has not been the recommended ideal healthy one)

Riswah!..
hio pepo la magonjwa ya wazee ishindwe katika jina la yesu.... eimen!

this were my findings at random then View attachment 2431411
Normal blood pressure ni 140/90 kiwango cha juu na 90/60 kiwango cha chini hiyo ndio cutoff inayotambulikana na WHO.
 
Normal blood pressure ni 140/90 kiwango cha juu na 90/60 kiwango cha chini hiyo ndio cutoff inayotambulikana na WHO.
sawa boss..
lakini jua google inasema high blood pressure is from 130/80 or more
then 180/120 is a medical crisis urgency..
as in, an ambulance emergency!.... 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom