chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Shacks 6000 zinaongezwa kwenye ratio kunako kunyaland just imagine, vingekua ni vitu vya maana China wenyewe wangevichukua lakini sababu ni recycled waste hamna mwenye interest navyo na huenda Kenya ndio ilipeleka maombi ya mgao 😂😂😂Somalia nao wapo mbioni kusafirisha msaada kwa jirani yao Kenya.


