Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Virgin safari ndefu ni Scotland tuu na hapo ni less than 500km hiyo bado ni short haul. Dar Kigoma ni 1600km hiyo ni long haul ili upate faida inabidi uwe na train ndefu kuliko EMU inayobeba abiria wengi na hapa ndio loco pulled trains inapohitajika na ndio dhumuni la kuingiza hizo behewa unazoona zinashushwa port.
Ikienda Scotland na kurudi si 1000km, ikifanya safari tatu ni 1500km,
 
Virgin safari ndefu ni Scotland tuu na hapo ni less than 500km hiyo bado ni short haul. Dar Kigoma ni 1600km hiyo ni long haul ili upate faida inabidi uwe na train ndefu kuliko EMU inayobeba abiria wengi na hapa ndio loco pulled trains inapohitajika na ndio dhumuni la kuingiza hizo behewa unazoona zinashushwa port.
Kaka tatizo sio treni ndefu, tatizo ni muenekano, mimi sina shida na hizo treni so long as zinapiga mzigo na ndani zinaonekana ziko comfortable Poa tu.
Tatizo langu ni pale mtu anaposema zinatakiwa kuwa na sura mbaya kwa sababu na long haul huo ni uongo,
China ina treni zenye muonekano mzuri tu za long haul.
Tuombe Mungu hizo locomotives zisiwe na uso wa Kenya, la sivyo utamkoma machozi ya gesi😂😂
 
Mkuu, lilé" file" lako Kule Mirembe mental Hospital lilifungwa?[emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ooooooh bwana joto la jiwe, badili kwanza simu! kwani naona na wewe una angukia lile lile kundi la wa Tanganyika linalotamalaki kwa sasa, ambalo ni kundi la wajinga lakini linajifanya ni kundi la werevu. Penda sana kusikiliza kuliko kubwatuka, hakika 'response' zako zinaonesha wewe huwa na chuki sana na watu wanaopiga hatua, unaowapamabania (mabwanyenye wa mfumo) wana maisha mazuri kuliko yako hivyo hawatumii Itel.
 
Haters will say it's Photoshop.

View attachment 2426917
Even this one [emoji116][emoji116]
tapatalk_1596196063116.jpg
 
Ooooooh bwana joto la jiwe, badili kwanza simu! kwani naona na wewe una angukia lile lile kundi la wa Tanganyika linalotamalaki kwa sasa, ambalo ni kundi la wajinga lakini linajifanya ni kundi la werevu. Penda sana kusikiliza kuliko kubwatuka, hakika 'response' zako zinaonesha wewe huwa na chuki sana na watu wanaopiga hatua, unaowapamabania (mabwanyenye wa mfumo) wana maisha mazuri kuliko yako hivyo hawatumii Itel.
Mkuu nimeuliza tu, sikuwa na Nia mbaya. Mazungumzo yako tu yanaonyesha kwamba Kuna shida kidogo kichwani[emoji13][emoji13]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom